Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Werawera Arusha-Wing! safari ya kufunga mwaka hii hapa!

Shikamoo ba'mkwe Mungi! Mke wangu mtarajiwa hajambo? Mahari vipi mbona hukujibu unataka ng'ombe wangapi?
 
Last edited by a moderator:
Shikamoo ba'mkwe Mungi! Mke wangu mtarajiwa hajambo? Mahari vipi mbona hukujibu unataka ng'ombe wangapi?

Marhaba Arushaone, hebu nenda home utawakuta washkaji wapo watatu pale nyumbani uwaulize hilo swali watakujibu.
jamaa wenyewe ni hawa hapa:

28786_457698667601237_669153450_n.jpg

baada ya hapo unakutana na hii kitu:
T68_SMG.jpg
 

Attachments

  • 417034_375345042552859_846121992_n.jpg
    417034_375345042552859_846121992_n.jpg
    11.7 KB · Views: 22
Fuatilia hii lakini utangulie mbele yake itakuelekeza

T68_SMG.jpg

Dah kama ni hivyo siji kwako aise
Nilitaka nikuletee kreti la ndyofu kwa ajili ya xmass ila umenitisha bora nimpelekee Erickb52
 
Last edited by a moderator:
Dah kama ni hivyo siji kwako aise
Nilitaka nikuletee kreti la ndyofu kwa ajili ya xmass ila umenitisha bora nimpelekee Erickb52

Nooo Noo Mkuu samahani kama ni kwa ajili ya kreti ya ndyofu mfuate huyu kwa nyuma atakufikisha mpaka home kwangu:
ndovu.jpg
 
Nooo Noo Mkuu samahani kama ni kwa ajili ya kreti ya ndyofu mfuate huyu kwa nyuma atakufikisha mpaka home kwangu:
ndovu.jpg

labda awe yule wa India aliyefundishwa ila kama ni wa hapa Tarangire hata kwa dawa simfuati kabisa maana hachelewi kukugeuzia kibao akakufanya asusa mkuu Mungi
 
Last edited by a moderator:
Nooo Noo Mkuu samahani kama ni kwa ajili ya kreti ya ndyofu mfuate huyu kwa nyuma atakufikisha mpaka home kwangu:
ndovu.jpg

Nani ameleta hii kitu ofisini! Unatuondolea apetaiti ya kumalizia kazi ati?
 
Nani ameleta hii kitu ofisini! Unatuondolea apetaiti ya kumalizia kazi ati?
Toa ulevi wako hapa! Nyie ndio mnarudisha nyuma maendeleo ya nchi yetu afu mnamsingizia baba Mwanaasha wa watu!
 
Back
Top Bottom