Werrason kiboko ya sebene

Werrason kiboko ya sebene

Siku nyingine uwe unafanya Kwanza Utafiti wa kutosha kisha ukitosheka na findings zako ndipo uwe unakuja nazo humu JF na siyo kukurupuka kama hivi ulivyofanya hadi wenye muziki Wetu wa Congo na ambao ndiyo umetukuza tunakushangaa.

Kwa taarifa yako tu ni kwamba ukiwaondoa akina Hayati Luanzo Makiadi Franco ' Le Grand Mitre ' na mwenzake Kabasele ya Mpanya Pepe Kalle mpaka sasa Congo DR ( zamani Zaire ) ni Bendi moja tu ambayo ndiyo Bingwa wa Masebene nayo ni Wenge Musica BCBG yake JB Mpiana na wanaoifuata kwa karibu ni hili Kundi la Extra Musica BPBL baadae wakajiita Extra Musica Zangul na sasa wanajiita Extra Musica Oureguen chini yake Ibambi Ikombi wengi mnamjua kama Roga Roga ( Bingwa wa kupiga Solo guitar Congo Brazzaville ) na wanaofuatia kwa mbali sana ni Bendi ya Felix Wazekwa.

Kuna Vigezo vikubwa Saba vya kuifanya Bendi fulani isifike na ikubalike kuwa mahiri katika Sebene nazo ni :

  1. Best Soloist ( Mpiga Solo gitaa mahiri sana )
  2. Best drummer ( Mkaanga Chips mzuri au mpiga ngoma mzuri )
  3. Animateurs ( kwa Kiswahili mnawaita Marapa au Waghani na kwa Kikongo wanaitwa Atalakus )
  4. Catchphrase ( kibwagizo au kiitikio ambacho kimekubalika na kimewakaa Watu kwa sana )
  5. Creative Dancers with Creative dancing styles ( Wacheza Shoo Wabunifu )
  6. Entertaining Keyboardist ( Mpiga Kinanda anayeburudisha kwa vionjo vinavyoendana na wimbo upigwao )
  7. Energy ( Nguvu ya kutosha hasa kwa kuimba na kucheza bila kuchoka )
Kwa hivyo Vigezo au Sifa Kuu saba ( 7 ) hapo juu huyo Ngiama Makanda Noele Werrason wako anaachwa kwa mbali mno na hao wenzake Watatu ( 3 ) niliowataja hapo.
Kaka unamjua jamaa anaitwaga fally lpupa Nsimba
 
Siku nyingine uwe unafanya Kwanza Utafiti wa kutosha kisha ukitosheka na findings zako ndipo uwe unakuja nazo humu JF na siyo kukurupuka kama hivi ulivyofanya hadi wenye muziki Wetu wa Congo na ambao ndiyo umetukuza tunakushangaa.

Kwa taarifa yako tu ni kwamba ukiwaondoa akina Hayati Luanzo Makiadi Franco ' Le Grand Mitre ' na mwenzake Kabasele ya Mpanya Pepe Kalle mpaka sasa Congo DR ( zamani Zaire ) ni Bendi moja tu ambayo ndiyo Bingwa wa Masebene nayo ni Wenge Musica BCBG yake JB Mpiana na wanaoifuata kwa karibu ni hili Kundi la Extra Musica BPBL baadae wakajiita Extra Musica Zangul na sasa wanajiita Extra Musica Oureguen chini yake Ibambi Ikombi wengi mnamjua kama Roga Roga ( Bingwa wa kupiga Solo guitar Congo Brazzaville ) na wanaofuatia kwa mbali sana ni Bendi ya Felix Wazekwa.

Kuna Vigezo vikubwa Saba vya kuifanya Bendi fulani isifike na ikubalike kuwa mahiri katika Sebene nazo ni :

  1. Best Soloist ( Mpiga Solo gitaa mahiri sana )
  2. Best drummer ( Mkaanga Chips mzuri au mpiga ngoma mzuri )
  3. Animateurs ( kwa Kiswahili mnawaita Marapa au Waghani na kwa Kikongo wanaitwa Atalakus )
  4. Catchphrase ( kibwagizo au kiitikio ambacho kimekubalika na kimewakaa Watu kwa sana )
  5. Creative Dancers with Creative dancing styles ( Wacheza Shoo Wabunifu )
  6. Entertaining Keyboardist ( Mpiga Kinanda anayeburudisha kwa vionjo vinavyoendana na wimbo upigwao )
  7. Energy ( Nguvu ya kutosha hasa kwa kuimba na kucheza bila kuchoka )
Kwa hivyo Vigezo au Sifa Kuu saba ( 7 ) hapo juu huyo Ngiama Makanda Noele Werrason wako anaachwa kwa mbali mno na hao wenzake Watatu ( 3 ) niliowataja hapo.
Haha nilikua nasubiri comment yako tu mkuu katika hili.
 
nailelewa sana ile dansi pale wote wanaimuitikia atalaku ' ooooh yesue'!!
Halaf naona watu hata hawampi credit zake,,,mimi kwangu fally ni mkali wa sebene dunia nzima kwa ngoma hzi,,,libre parcous, bicarbonate, hustler is back, original etc
 
Mkuu GENTAMYCINE nilikuwa nasuburua mchango wako ktk hili maana nakujua wewe ndio unaujua vizuri mziki huu..
Kuna seben moja la Werrason kuna mdada mmoja anapiga SOLO Gitaa LIve on stage sijui kama umeishaiona ile video..
au kama vp ntaitupia uione.

Sara Soloo.....
 
Shikito ni wa ferre gola na sio werason,...labda kama wapo wawili. BTW na mimi nataka kujua yupo wap
Nimeambiwa kuwa kaanzisha bendi yake
Inawezekana alikuwa wa ferre maana nakumbuka aliwekewa beat la 100 kilos akaingizia maneno yake aiseee kijana alifanya kwel
 
Ni kosa kumfananisha Fally na wakongwe kama Werrason na Koffi. Fally Vs Ferre hapo sawa. Thereafter Fally sahv amekuwa modal mziki si kwa saaaaana, anauza sura na kiuno chake anapotea taratiibu kwe mziki.
 
Back
Top Bottom