Savimbi JB
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 378
- 343
Mamalemiselelee,,,,,,Kibisela yambatalibre pacours 2 ya Di Caprio Fally Ipupa Nsimba!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamalemiselelee,,,,,,Kibisela yambatalibre pacours 2 ya Di Caprio Fally Ipupa Nsimba!
nailelewa sana ile dansi pale wote wanaimuitikia atalaku ' ooooh yesue'!!Mamalemiselelee,,,,,,Kibisela yambata
Shikito ni wa ferre gola na sio werason,...labda kama wapo wawili. BTW na mimi nataka kujua yupo wapKuna kijana mmoja hivi alikuwa anapromotiwa na werrason sana anaitwa shikito hivi yuko wapi kwa anayefaham
Kaka unamjua jamaa anaitwaga fally lpupa NsimbaSiku nyingine uwe unafanya Kwanza Utafiti wa kutosha kisha ukitosheka na findings zako ndipo uwe unakuja nazo humu JF na siyo kukurupuka kama hivi ulivyofanya hadi wenye muziki Wetu wa Congo na ambao ndiyo umetukuza tunakushangaa.
Kwa taarifa yako tu ni kwamba ukiwaondoa akina Hayati Luanzo Makiadi Franco ' Le Grand Mitre ' na mwenzake Kabasele ya Mpanya Pepe Kalle mpaka sasa Congo DR ( zamani Zaire ) ni Bendi moja tu ambayo ndiyo Bingwa wa Masebene nayo ni Wenge Musica BCBG yake JB Mpiana na wanaoifuata kwa karibu ni hili Kundi la Extra Musica BPBL baadae wakajiita Extra Musica Zangul na sasa wanajiita Extra Musica Oureguen chini yake Ibambi Ikombi wengi mnamjua kama Roga Roga ( Bingwa wa kupiga Solo guitar Congo Brazzaville ) na wanaofuatia kwa mbali sana ni Bendi ya Felix Wazekwa.
Kuna Vigezo vikubwa Saba vya kuifanya Bendi fulani isifike na ikubalike kuwa mahiri katika Sebene nazo ni :
Kwa hivyo Vigezo au Sifa Kuu saba ( 7 ) hapo juu huyo Ngiama Makanda Noele Werrason wako anaachwa kwa mbali mno na hao wenzake Watatu ( 3 ) niliowataja hapo.
- Best Soloist ( Mpiga Solo gitaa mahiri sana )
- Best drummer ( Mkaanga Chips mzuri au mpiga ngoma mzuri )
- Animateurs ( kwa Kiswahili mnawaita Marapa au Waghani na kwa Kikongo wanaitwa Atalakus )
- Catchphrase ( kibwagizo au kiitikio ambacho kimekubalika na kimewakaa Watu kwa sana )
- Creative Dancers with Creative dancing styles ( Wacheza Shoo Wabunifu )
- Entertaining Keyboardist ( Mpiga Kinanda anayeburudisha kwa vionjo vinavyoendana na wimbo upigwao )
- Energy ( Nguvu ya kutosha hasa kwa kuimba na kucheza bila kuchoka )
Haha nilikua nasubiri comment yako tu mkuu katika hili.Siku nyingine uwe unafanya Kwanza Utafiti wa kutosha kisha ukitosheka na findings zako ndipo uwe unakuja nazo humu JF na siyo kukurupuka kama hivi ulivyofanya hadi wenye muziki Wetu wa Congo na ambao ndiyo umetukuza tunakushangaa.
Kwa taarifa yako tu ni kwamba ukiwaondoa akina Hayati Luanzo Makiadi Franco ' Le Grand Mitre ' na mwenzake Kabasele ya Mpanya Pepe Kalle mpaka sasa Congo DR ( zamani Zaire ) ni Bendi moja tu ambayo ndiyo Bingwa wa Masebene nayo ni Wenge Musica BCBG yake JB Mpiana na wanaoifuata kwa karibu ni hili Kundi la Extra Musica BPBL baadae wakajiita Extra Musica Zangul na sasa wanajiita Extra Musica Oureguen chini yake Ibambi Ikombi wengi mnamjua kama Roga Roga ( Bingwa wa kupiga Solo guitar Congo Brazzaville ) na wanaofuatia kwa mbali sana ni Bendi ya Felix Wazekwa.
Kuna Vigezo vikubwa Saba vya kuifanya Bendi fulani isifike na ikubalike kuwa mahiri katika Sebene nazo ni :
Kwa hivyo Vigezo au Sifa Kuu saba ( 7 ) hapo juu huyo Ngiama Makanda Noele Werrason wako anaachwa kwa mbali mno na hao wenzake Watatu ( 3 ) niliowataja hapo.
- Best Soloist ( Mpiga Solo gitaa mahiri sana )
- Best drummer ( Mkaanga Chips mzuri au mpiga ngoma mzuri )
- Animateurs ( kwa Kiswahili mnawaita Marapa au Waghani na kwa Kikongo wanaitwa Atalakus )
- Catchphrase ( kibwagizo au kiitikio ambacho kimekubalika na kimewakaa Watu kwa sana )
- Creative Dancers with Creative dancing styles ( Wacheza Shoo Wabunifu )
- Entertaining Keyboardist ( Mpiga Kinanda anayeburudisha kwa vionjo vinavyoendana na wimbo upigwao )
- Energy ( Nguvu ya kutosha hasa kwa kuimba na kucheza bila kuchoka )
Halaf naona watu hata hawampi credit zake,,,mimi kwangu fally ni mkali wa sebene dunia nzima kwa ngoma hzi,,,libre parcous, bicarbonate, hustler is back, original etcnailelewa sana ile dansi pale wote wanaimuitikia atalaku ' ooooh yesue'!!
Mkuu GENTAMYCINE nilikuwa nasuburua mchango wako ktk hili maana nakujua wewe ndio unaujua vizuri mziki huu..
Kuna seben moja la Werrason kuna mdada mmoja anapiga SOLO Gitaa LIve on stage sijui kama umeishaiona ile video..
au kama vp ntaitupia uione.
Kumbe ana bendi sasa aisee kitambo.sana sijamuonaShikito bele(kijana) alikuw ni kama nephew wake, sema dogo akaota mapembe . ana bendi yake now
Nimeambiwa kuwa kaanzisha bendi yakeShikito ni wa ferre gola na sio werason,...labda kama wapo wawili. BTW na mimi nataka kujua yupo wap