Westlands vs Posta

Westlands vs Posta

Ipi hiyo?
Weka moja kama hiyo Dar salaama lane moja moja 10
1540212778914.png
 
There was a time hapa Jf kuna mtu alisema Nai haina glass buildings ndio hio kwanza full glass. Then wakasema buildings ni za minara. GTC ndio hio. Wakasema floors. Avic inaleta 6 buildings with over 30floors & a 47storey tower, Making westlands the first East African landmark City. [emoji16][emoji16][emoji16] Kuna watu watakufa huku.
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 907005
 
Westlands, Posta vyote Muzungu planned 100%!

Leta African planned city hapa, ndo tulinganishe!
La hasha. Westlands, Upperhill na Parklands ni maeneo yalipata kuendelezwa hivi miaka ya juzi tu. Even by 2000s, Upperhill km, ilikuwa mostly misitu na majumba machache za mabwenyenye....mostly wazungu (niliarifiwa), ambao waliamua kughura maeneo ya kama Karen jiji lilipoanza kupanuka na kufikia maeneo hayo.

Sielewi ni kwanini huna imani na uwezo wa mwafrika, ya kufanya mambo kama hayo kisawa sawa. Hivi Kigali si inajengwa na Waafrika?
 
La hasha. Westlands, Upperhill na Parklands ni maeneo yalipata kuendelezwa hivi miaka ya juzi tu. Even by 2000s, Upperhill km, ilikuwa mostly misitu na majumba machache za mabwenyenye....mostly wazungu (niliarifiwa), ambao waliamua kughura maeneo ya kama Karen jiji lilipoanza kupanuka na kufikia maeneo hayo.

Sielewi ni kwanini huna imani na uwezo wa mwafrika, ya kufanya mambo kama hayo kisawa sawa. Hivi Kigali si inajengwa na Waafrika?


Nilimaanisha ,,planing" na siyo majengo, kujenga ni rahisi kama plan tayari ipo, planning ya Nairobi yote ilishafanywa kilichopo ni kujenga tu according to plans, kujenga ni kazi rahisi , siyo kama planning, challenge iliyopo sasa hivi sisi na Dodoma ni hiyo, jinsi ya kuplan mji ili sasa paweze kujengwa, hiyo siyo kazi rahisi.

wikipedia

Located 3.1 kilometres (1.9 mi) by road northwest of the central business district of Nairobi,[1] Westlands was a residential district during the colonial period which ended in 1963. During the 1990s and early 2000s, as land and office space became scarce and exorbitantly priced in the central business district, more businesses have relocated to Westlands and Upper Hill, where land and office space are more readily available and less expensive. Westlands was initially considered part of the Parklands area and straddled what is now Waiyaki Way, originally the Kenya-Uganda Railway. The area has been nicknamed Westie by the youth of Nairobi. It is nowadays typically inhabited by a significant number of the city's expat population
 
2018
Dar-es-Salaam, Tanzania

Dar es Salaam is playing host to Mobilize 2018 - the International Sustainable Transport Summit.

The event showcases best practices and lessons in sustainable mobility to an international group of city practitioners and researchers. Over the last year, Dar has launched a series of transformative improvements to transit, cycling and walking, the most important of which is the Dar es Salaam Bus Rapid Transit system.
Source: ITDP Africa
 
Hahahaha,nyani ni nyani tu unalinganisha uchafu westy ambayo haiwezi hata upanga na posta!!???! huu uzi ufutwe *Thread closed*...Coming soon Dar es salaam vs nairobi+mombasa..
 
But bagamoyo, una-realize you are actually competing Dar's main cbd against Nairobi's 3rd cbd?

Tch tch tch! Kenya kwelly tuko mbele...
 
Back
Top Bottom