Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wote nyinyi ni matako badala ya kutafuta pesa muendeshe maisha yenu mnakomalia bottles wasenge nyinyi
Kufanya nini kenya ?Wewe unaingia usilolijua hâta Sisi nia wabongo na tupo wengi sana Kenya
Kwani kwao kuna glass buildings ngapi?There was a time hapa Jf kuna mtu alisema Nai haina glass buildings ndio hio kwanza full glass. Then wakasema buildings ni za minara. GTC ndio hio. Wakasema floors. Avic inaleta 6 buildings with over 30floors & a 47storey tower, Making westlands the first East African landmark City. [emoji16][emoji16][emoji16] Kuna watu watakufa huku.
Muonyeshe na picha za kibera , the largest slum in AfricaHapa sio mahala [pa mdomo na longolongo mingi ila tunaweka picha...
Westlands
View attachment 907071
Muweke na kibera one of the largest slum ni the world.tumesema westlands vs posta imewashinda...
Next tutaweka kijitonyama vs Easlands yani traratuibu hadi tuidhalilishe Dar.
Weka za kiberaNataka kuijua/kuzijua kwa kuweka picha, wacha longolongo.
Kwani kwao kuna glass buildings ngapi?
Kwani kwao kuna glass buildings ngapi?
Hakuna jengo kama UAP Dar, wacha uongo. Majengo ya kwenu mengi sio modern na mafupi fupi. Acha kukosea UAP heshima. Westlands pekee ina majengo modern kuliko Dar yote.Kwakweli majengo kama UAP huku ni machache sana tena ya zamani mno,ni 5floor-7.
Huyu ni nani... Na ana akili kweli ama ni matope kwa kichwa. You insane? Ends checkup buda.Weka za kibera
Hizo ghorofa , habitat iliwasaidia , prof mama Tibaijuka kutoka Tanzania , alifanya kazi kwelikweli , kuhakikisha angalau , one of the largest SLUM , in the word , panabadilika kidogo
Mnajisifia ujinga tu hapa , we nani ? Acha kukariri , kibera iliopo kenya ndio jiji duni kabisa na la kwanza Afrika na katika dunia ni kati ya manne ya juu kabisa kwa uduni , acha uzwazwaHuyu ni nani... Na ana akili kweli ama ni matope kwa kichwa. You insane? Ends checkup buda.
Acha kutumia ujinga kusupport ujinga. Akili ndo hunaMnajisifia ujinga tu hapa , we nani ? Acha kukariri , kibera iliopo kenya ndio jiji duni kabisa na la kwanza Afrika na katika dunia ni kati ya manne ya juu kabisa kwa uduni , acha uzwazwa