Westlands vs Posta

Westlands vs Posta

1540230257704.png
 
There was a time hapa Jf kuna mtu alisema Nai haina glass buildings ndio hio kwanza full glass. Then wakasema buildings ni za minara. GTC ndio hio. Wakasema floors. Avic inaleta 6 buildings with over 30floors & a 47storey tower, Making westlands the first East African landmark City. [emoji16][emoji16][emoji16] Kuna watu watakufa huku.
Kwani kwao kuna glass buildings ngapi?
 
Kwakweli majengo kama UAP huku ni machache sana tena ya zamani mno,ni 5floor-7.
Hakuna jengo kama UAP Dar, wacha uongo. Majengo ya kwenu mengi sio modern na mafupi fupi. Acha kukosea UAP heshima. Westlands pekee ina majengo modern kuliko Dar yote.
 
Huyu ni nani... Na ana akili kweli ama ni matope kwa kichwa. You insane? Ends checkup buda.
Mnajisifia ujinga tu hapa , we nani ? Acha kukariri , kibera iliopo kenya ndio jiji duni kabisa na la kwanza Afrika na katika dunia ni kati ya manne ya juu kabisa kwa uduni , acha uzwazwa
 
Mnajisifia ujinga tu hapa , we nani ? Acha kukariri , kibera iliopo kenya ndio jiji duni kabisa na la kwanza Afrika na katika dunia ni kati ya manne ya juu kabisa kwa uduni , acha uzwazwa
Acha kutumia ujinga kusupport ujinga. Akili ndo huna
 
Back
Top Bottom