Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Tumekusikia kiongozi, lakini Jitahidi kudumisha kiswahili mkuu. ✍️✍️hasa Maza wako yuko kijijini na maisha yanakuswaga kila siku?
Mpigie simu maza wako muulize mama una chakula ndani?
Bibi, babu au mlezi wakeKwa yule ambae hana mama au mzazi au ndugu wa karibu anaweza kutumia njia gani kwa muktadha wa mada.
Kwahiyo baba hana msaada au?Uko mjini wazazi wako hasa Maza wako yuko kijijini na maisha yanakuswaga kila siku?
Mpigie simu maza wako muulize mama una chakula ndani?
Muulize mama umekula nini leo?
Muulize hayo maswali mawili halafu uone maisha ya mama yako yalivyo huko kijijini.
Halafu fanya maamuzi magumu, angalia ni nini ufanye kitakachogusa moyo wake.
Utanishukuru.
Utakapokuwa vizuri siku nyingine muulize unahitaji nikufanyie nini?
Je baba hana haja ya kuulizwa?Uko mjini wazazi wako hasa Maza wako yuko kijijini na maisha yanakuswaga kila siku?
Mpigie simu maza wako muulize mama una chakula ndani?
Muulize mama umekula nini leo?
Muulize hayo maswali mawili halafu uone maisha ya mama yako yalivyo huko kijijini.
Halafu fanya maamuzi magumu, angalia ni nini ufanye kitakachogusa moyo wake.
Utanishukuru.
Utakapokuwa vizuri siku nyingine muulize unahitaji nikufanyie nini?
mhiiUko mjini wazazi wako hasa Maza wako yuko kijijini na maisha yanakuswaga kila siku?
Mpigie simu maza wako muulize mama una chakula ndani?
Muulize mama umekula nini leo?
Muulize hayo maswali mawili halafu uone maisha ya mama yako yalivyo huko kijijini.
Halafu fanya maamuzi magumu, angalia ni nini ufanye kitakachogusa moyo wake.
Utanishukuru.
Utakapokuwa vizuri siku nyingine muulize unahitaji nikufanyie nini?
Watoto wa Single mother utawajua tu,wao hawana habari na Baba yao!!Je baba hana haja ya kuulizwa?