Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

Lilikuwa ni basi la mwendokasi linalotokea ubungo kwenda kivukoni between saa 3 asubuhi mpaka kama saa 4 hivi

Ulikuwa umekaa kwenye moja ya seats za mbele ambazo unaangaliana na watu waliokaa upande wa pili.

Ulivaa ulivaa gauni lenye mistari ambayo imelala na sandals japo nashindwa kukumbuka rangi ya gauni lako.

Tumeshuka wote kituo kimoja ambacho ni MUNICIPAL COUNCIL(BANDARI) and while tunashuka mlangoni nilikuwa mbele yako.

Nimelazimika kuja kuandika hapa sababu tu ya jinsi nilivopagawa na muonekano wako. Upo natural sana hadi nimebaki tu na maswali kwamba nipo dar kweli au nimeingia wapi leo.

Nywele zako ni natural na ulizibana vizuri sana, Hujatoboa masikio, kucha zako za mikono na miguu umezikeep short hujazipaka rangi na ni safi and rangi ya ngozi yako ni nzuri na ni natural. You were very smart. Najiona nimekuwa blessed leo kwa kukuona vile ulivokuwa. I have aprreciated your appearance.

I was looking you all the journey from Urafiki to City Council ambapo tulishuka wote. I wish even to say hi to you.

Naamini kwamba unaweza ukapita huku. Please just come pm hata kama hautonipa namba yako its okey. But I have prepared something for you as appreciation for vile ulivokuwa.

I hope you won't refuse.

Thank you
Umeshindwa kumsimamisha hata akakupa namba kabisa,hutomuona tena huyo sahau.Usinambie na wewe mdomoni umejaza ubwabwa.
 
Huyo hata JF hajawahi isikia,anakaa hukoo Saranga na alimaliza la Saba D,Temboni Sekondari.
 
Lilikuwa ni basi la mwendokasi linalotokea ubungo kwenda kivukoni between saa 3 asubuhi mpaka kama saa 4 hivi

Ulikuwa umekaa kwenye moja ya seats za mbele ambazo unaangaliana na watu waliokaa upande wa pili.

Ulivaa ulivaa gauni lenye mistari ambayo imelala na sandals japo nashindwa kukumbuka rangi ya gauni lako.

Tumeshuka wote kituo kimoja ambacho ni MUNICIPAL COUNCIL(BANDARI) and while tunashuka mlangoni nilikuwa mbele yako.

Nimelazimika kuja kuandika hapa sababu tu ya jinsi nilivopagawa na muonekano wako. Upo natural sana hadi nimebaki tu na maswali kwamba nipo dar kweli au nimeingia wapi leo.

Nywele zako ni natural na ulizibana vizuri sana, Hujatoboa masikio, kucha zako za mikono na miguu umezikeep short hujazipaka rangi na ni safi and rangi ya ngozi yako ni nzuri na ni natural. You were very smart. Najiona nimekuwa blessed leo kwa kukuona vile ulivokuwa. I have aprreciated your appearance.

I was looking you all the journey from Urafiki to City Council ambapo tulishuka wote. I wish even to say hi to you.

Naamini kwamba unaweza ukapita huku. Please just come pm hata kama hautonipa namba yako its okey. But I have prepared something for you as appreciation for vile ulivokuwa.

I hope you won't refuse.

Thank you
Domo zzzzzz in the building.
 
Nikajua mmeshuka vituo tofauti, kumbe kituo kimoja! Unawakilisha wanaume wa Dar
 
Teh teh kwa sifa hizo sidhani kama atakuwa hapa JF,

hatakama yupo sidhani kama atakuja kukuPm mwanamme usiye jiamini.

Jiamini kwanza mkuu.
 
Bro utakua na shida ya udomo zege,, yani ukashindwa ata kumface kwenye eneo la tukio, dah
 
Wanaume wa Dar, walianza kuogopa panya road, sasa hivi wanaogopa wanawake
 
Back
Top Bottom