Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

Anaye niogopa ndiyo mzuri tena ukimgundua hapo ndipo unaongeza mbwembwe na madoido[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
una uhakika gani kama uyo dada anatumia JF? ni vizuri ukamfata hapo hapo tu maana wanaoshuka vituoni ni wengi
 
Unasikitisha sana...

Umeshindwa kumwambia live, unakuja kulia kulia humu JF...


Cc: mahondaw
 
Hata mimi nimemuona si alipanda mwendokasi rangi ya blue?
 
Lilikuwa ni basi la mwendokasi linalotokea ubungo kwenda kivukoni between saa 3 asubuhi mpaka kama saa 4 hivi

Ulikuwa umekaa kwenye moja ya seats za mbele ambazo unaangaliana na watu waliokaa upande wa pili.

Ulivaa ulivaa gauni lenye mistari ambayo imelala na sandals japo nashindwa kukumbuka rangi ya gauni lako.

Tumeshuka wote kituo kimoja ambacho ni MUNICIPAL COUNCIL(BANDARI) and while tunashuka mlangoni nilikuwa mbele yako.

Nimelazimika kuja kuandika hapa sababu tu ya jinsi nilivopagawa na muonekano wako. Upo natural sana hadi nimebaki tu na maswali kwamba nipo dar kweli au nimeingia wapi leo.

Nywele zako ni natural na ulizibana vizuri sana, Hujatoboa masikio, kucha zako za mikono na miguu umezikeep short hujazipaka rangi na ni safi and rangi ya ngozi yako ni nzuri na ni natural. You were very smart. Najiona nimekuwa blessed leo kwa kukuona vile ulivokuwa. I have aprreciated your appearance.

I was looking you all the journey from Urafiki to City Council ambapo tulishuka wote. I wish even to say hi to you.

Naamini kwamba unaweza ukapita huku. Please just come pm hata kama hautonipa namba yako its okey. But I have prepared something for you as appreciation for vile ulivokuwa.

I hope you won't refuse.

Thank you
Mkuu wewe ni mtu mzima, una miaka 30....tangu mwaka 1988 upo duniani, lkn huwezi kueleza hisia zako
 
watoto kama hao hata whatsap wanakuwa hawaja-install, huku jf huwez mpata.
 
Wanaume wa dar shida tupu.unaweza kwenda kuloga kwamba hutongozwi kumbe watu hawajui kutongoza.ila sishangai kama China kutongoza imekuwa tatizo hadi wanaanzisha darasa je Tanzania tatizo litakuwa kiwango gani?
Janga la dunia hilo
 
Vp hujiamin mr jimmy??
Kuna mtu ili kutongoza dem lazma sku hyo aazime gari au awe na ela ndo atajiamin
 
Back
Top Bottom