Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

We unaonekana ni domo zege sana. Mtu umepanda naye gari hadi ukashuka naye hujamsemsha unakuja kumtafuta huku JF
 
Siku nyingine kwa kuwa hatujui fate imekaaje kwako. Endapo utakutana tena naye. Usiogope, simama ghafula mbele yake; piga magoti, na kwa kingereza chako hicho hicho kibovu mwambie hivi; I LOVE YUUU! Usiseme kingine. Usimwambie aje PM au aende PM. Ukimwambie hilo, tiyari atakuwa wako.
Kutongoza hakuhitaji kiingereza. Hata kikurya atasikia tu. Unamsemesha kiingereza kwani ulisikia ni mzungu?
 
Imeshakula kwako hiyo "kilichbaki " nenda kwenye Uzi wa CHAPUTA."" ukatafute style ya kumpigia nyeto tu""..


hahaha kuna Jamaa kule huwa wanapiga CHAPUTA kwa style ya nzi "" I hope itakufaaa...
 
Aaaf wewe mchokoziiii, Ngoja na mie nikukimbize kwenye mwendo kasi subir tu
Leo tuu ndio nimepanda mwendokasi[emoji14][emoji12][emoji12]sijui utanipatia wapi tena narudi zangu kwenye daladala[emoji125][emoji125]
 
Tatizo wewe ni domo zege!

Kwahiyo umeshindwa kumuomba hata namba ili misifa yote hiyo umwagie japo kwa sms?
Hahahaa hamna kazi ngumu kama kuomba namba kwenye daladala mkuu.
Hata hivyo huyo jamaa kazidisha uoga hahahaha
 
Leo tuu ndio nimepanda mwendokasi[emoji14][emoji12][emoji12]sijui utanipatia wapi tena narudi zangu kwenye daladala[emoji125][emoji125]
Daaaah. Yaani umepanda mwendo kasi leo tu ukamchungulia mwenzako sasa wananchi wanataka kukulipizia wewe unarudi daladalani
 
JF Bhana mi nilifikiri watu wanaanza na kwanini kila mmoja amejikita kumpa lawama mtoa post si vizuri muwe wakarimu

Mnajuaje labda Jamaa ni BUBU je tuweni wastaarabu WAKUU

Ni hayo tu ..
Aiseeee""" eti bubu ....hahaaa"" yaaani sio kwa hii fasihi ""....
 
Lilikuwa ni basi la mwendokasi linalotokea ubungo kwenda kivukoni between saa 3 asubuhi mpaka kama saa 4 hivi

Ulikuwa umekaa kwenye moja ya seats za mbele ambazo unaangaliana na watu waliokaa upande wa pili.

Ulivaa ulivaa gauni lenye mistari ambayo imelala na sandals japo nashindwa kukumbuka rangi ya gauni lako.

Tumeshuka wote kituo kimoja ambacho ni MUNICIPAL COUNCIL(BANDARI) and while tunashuka mlangoni nilikuwa mbele yako.

Nimelazimika kuja kuandika hapa sababu tu ya jinsi nilivopagawa na muonekano wako. Upo natural sana hadi nimebaki tu na maswali kwamba nipo dar kweli au nimeingia wapi leo.

Nywele zako ni natural na ulizibana vizuri sana, Hujatoboa masikio, kucha zako za mikono na miguu umezikeep short hujazipaka rangi na ni safi and rangi ya ngozi yako ni nzuri na ni natural. You were very smart. Najiona nimekuwa blessed leo kwa kukuona vile ulivokuwa. I have aprreciated your appearance.

I was looking you all the journey from Urafiki to City Council ambapo tulishuka wote. I wish even to say hi to you.

Naamini kwamba unaweza ukapita huku. Please just come pm hata kama hautonipa namba yako its okey. But I have prepared something for you as appreciation for vile ulivokuwa.

I hope you won't refuse.

Thank you
Wanaume wa siku hizi kwisha habari, na kibaya zaidi unaamini kuwa kila mtu yupo jf.
 
Kwa maelezo hayo, bila shaka ulikutana na jini aiseeeee.....[emoji53] [emoji53]
 
Acha udomo zege wewe
Btw kuna chuo kimefunguliwa huko China kinafundisha madomo zege kutongoza
 
Back
Top Bottom