Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

Wewe dada wewe niliyekuona kwenye mwendokasi leo

Sawa,kama yuko humu JF ata respond,ila uwe na mpango wa kumuoa kama hujaoa,isijekuwa ni tamaa zako tu za kimwili,maana hiyo ni Ubungo to city center umeona umepagawa,hujaenda pande za Chang'ombe,hujaenda pande za Mwenge,hujaenda pande za Kigamboni,hujakatiza kwenye vyuo hapo katikati ya mji.Tuliza akili na Mshirikishe Mungu ili akusaidie upate mke mwema...

Watu wenye sifa kama hizo nilizotaja ni wachache mno
 
Leo kila mtu anajidai anajua kutongoza humu. Mimi ni mmoja wa watu ambao ni ngumu sana kutongoza stranger in public transport,places. Kwa thread hii nimejijua ni domo zege.
Mi pia siwezi ila nikimuelewa kama jamaa alivyomuelewa huyo bibie nitajikakamua walau nitoe salamu,wanasema salamu haitii mimba,ikishindikana basi napotezea,sasa huyu anapokea mzigo wa lawama hapa sababu alishindwa kumpa hata salamu,alafu badala ya kupotezea anakuja kubeti humu.

Nimegundua mtu atakayefungua workshop ya kufundishaa kutongoza,au kufanya private coaching atapiga hela sana.

Mie kwenye safari fupi siwezi ila safari ndefu nikakaa na totoz huwa simuachi salama nacheza kama pele.
 
Mi pia siwezi ila nikimuelewa kama jamaa alivyomuelewa huyo bibie nitajikakamua walau nitoe salamu,wanasema salamu haitii mimba,ikishindikana basi napotezea,sasa huyu anapokea mzigo wa lawama hapa sababu alishindwa kumpa hata salamu,alafu badala ya kupotezea anakuja kubeti humu.

Nimegundua mtu atakayefungua workshop ya kufundishaa kutongoza,au kufanya private coaching atapiga hela sana.

Mie kwenye safari fupi siwezi ila safari ndefu nikakaa na totoz huwa simuachi salama nacheza kama pele.
Mimi ni domo zege. Kama ningekuwa napanda nae bus kila asubuhi au jioni huyo tena sio total stranger naweza kumtokea kirahisi tu. Ila wa kumuona leo NO. Nawaona wengi si nitakuwa na kazi ya kuomba namba kila siku....maanake kila siku kila niendapo nakutana na watoto wazuri sana.
 
Mimi ni domo zege. Kama ningekuwa napanda nae bus kila asubuhi au jioni huyo tena sio total stranger naweza kumtokea kirahisi tu. Ila wa kumuona leo NO. Nawaona wengi si nitakuwa na kazi ya kuomba namba kila siku....maanake kila siku kila niendapo nakutana na watoto wazuri sana.
True.Sasa kuna wengine wanavipaji hivyo,hawana mshipa wa aibu,anakutana naye leoleo na atamsimamisha na kuomba namba,watu wa dizaini hyo huwa hawaogopi kukataliwa,huwa wanacheza na probability akisimamisha 10 hawezi kosa mmoja atakaye ingia kingi,na wanawake kama unavyowajua wanahuruma.
 
True.Sasa kuna wengine wanavipaji hivyo,hawana mshipa wa aibu,anakutana naye leoleo na atamsimamisha na kuomba namba,watu wa dizaini hyo huwa hawaogopi kukataliwa,huwa wanacheza na probability akisimamisha 10 hawezi kosa mmoja atakaye ingia kingi,na wanawake kama unavyowajua wanahuruma.
Ni kweli. Nilikuwa hivyo in my early 20s. Sasa hivi siko hivyo. Kadiri umri unavyosogea na uwezo wa kujilipua(taking risk) kwenye vitu vingi unapungua.
 
Tupia picha...
Vipi alikuwa na hips na makalio makubwa?
 
Umekosea sana kutokuomba mawasiliano yake.....maana ingekurahisishia kuonana nae tena.....

Sasa imagine, unaanzaje kumuona sasa hapa....labda muujiza utokee umuone tena kwa mara nyingine ila kiukweli umeboogy meen.....

Ulitakiwa ujikaze umsalimie basi hata ungemfuatilia kwa nyuma mdogo mdogo ujue anakwenda wapi na umuone hata mtu atayeongea nae ili upate pa kuanzia....

Sasa utaanzia wapi kwa sasa na ameshasepa huyo binti
 
mkuu hadi leo bado haujakutana nae tena,next time jitege palepale na muda na siku ile ile utakutana nae tena niamini
 
Tutolee udomozege wako hapa.
Umemuacha kote huko unakujakulialia hapa.
Acha uboya.
 
Lilikuwa ni basi la mwendokasi linalotokea ubungo kwenda kivukoni between saa 3 asubuhi mpaka kama saa 4 hivi

Ulikuwa umekaa kwenye moja ya seats za mbele ambazo unaangaliana na watu waliokaa upande wa pili.

Ulivaa ulivaa gauni lenye mistari ambayo imelala na sandals japo nashindwa kukumbuka rangi ya gauni lako.

Tumeshuka wote kituo kimoja ambacho ni MUNICIPAL COUNCIL(BANDARI) and while tunashuka mlangoni nilikuwa mbele yako.

Nimelazimika kuja kuandika hapa sababu tu ya jinsi nilivopagawa na muonekano wako. Upo natural sana hadi nimebaki tu na maswali kwamba nipo dar kweli au nimeingia wapi leo.

Nywele zako ni natural na ulizibana vizuri sana, Hujatoboa masikio, kucha zako za mikono na miguu umezikeep short hujazipaka rangi na ni safi and rangi ya ngozi yako ni nzuri na ni natural. You were very smart. Najiona nimekuwa blessed leo kwa kukuona vile ulivokuwa. I have aprreciated your appearance.

I was looking at you all the journey from Urafiki to City Council ambapo tulishuka wote. I wish even to say hi to you.

Naamini kwamba unaweza ukapita huku. Please just come pm hata kama hautonipa namba yako its okey. But I have prepared something for you as appreciation for vile ulivokuwa.

I hope you won't refuse.

Thank you
Good...real man know how to appreciate something special.........! natural lady please come to this forum
 
Back
Top Bottom