James88
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 1,700
- 1,761
- Thread starter
- #201
Sawa,kama yuko humu JF ata respond,ila uwe na mpango wa kumuoa kama hujaoa,isijekuwa ni tamaa zako tu za kimwili,maana hiyo ni Ubungo to city center umeona umepagawa,hujaenda pande za Chang'ombe,hujaenda pande za Mwenge,hujaenda pande za Kigamboni,hujakatiza kwenye vyuo hapo katikati ya mji.Tuliza akili na Mshirikishe Mungu ili akusaidie upate mke mwema...
Watu wenye sifa kama hizo nilizotaja ni wachache mno