Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Hivi mnatafutaga nini kujifanya wanawake? Mnajisikia rahaaaa kutongozwa sio.
Mjue tu kila kitu kina mwanzo, tutabakia kulia tu na watoto wetu wa kiume kumbe mambo yenyewe ndio kama haya.
Jamaa angekubali kupima sidhani kama hii thread ingeanzishwa maana wanawake angalau tuna haya za asili.
Kuna uzi hayo yalishawahi kutokea, wapenda ubuyu tukafaidi tu. Jf kuna muda inakuwaga ya hovyo hovyo.
Kama kweli ni mwanaume,basi vijana wamechanganyikiwaHivi mnatafutaga nini kujifanya wanawake? Mnajisikia rahaaaa kutongozwa sio.
Mjue tu kila kitu kina mwanzo, tutabakia kulia tu na watoto wetu wa kiume kumbe mambo yenyewe ndio kama haya.
Hao tayari walikua n wapenz maana dada alishatekwa hakuwa na ujanja hadi akaamua kumfata dar, isingekua hvyo asingemfata mapema yote hyoAlitakiwa amsome huyo Dada anataka mahusiano gani.
Jamaa angekubali kupima sidhani kama hii thread ingeanzishwa maana wanawake angalau tuna haya za asili.
Aiseee! Kama jana leo huu wote ni upuuzi
Hapana.Naona umekimbiwa
Ukimsoma kwenye post yake inaonesha wazo la kupima alilileta ili kuchelewesha mtanange sio kwamba alimaanisha kweli alitaka kupima then ampeJamaa angekubali kupima sidhani kama hii thread ingeanzishwa maana wanawake angalau tuna haya za asili.
Teh ndio wewe nini?Nitaweka picha yako ukimbie hapa kama mwenzako
Umekimbia kutomuelewa au umekimbia mkuyenge?Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa
Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza
Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi
Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida
Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali
Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio
Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim
Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
Kuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa
Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza
Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi
Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida
Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali
Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio
Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim
Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
[/Q
Hongera sana dada Cutelove, kwa kumkomesha huyo mvulana kama alitaka wa faster si angeenda Kimboka, na corner bar. Yaani umeonesha msimamo ambao mwanamke anayejitambua anapaswa kuwa nao. Hongera sana
Yaani ni jinsi gani umeonyesha wewe ni kicheche yaani mmefahamiana kwenye mtandao na nauli umetumiwa na umejileta ?hata ukiliwa ni haki yakoKuna mkaka wa humu,alianza kama utani huko Pm,kama kawaida yao kwa kuomba namba ya WhatsApp walivyo fasta,akaniomba nikampa
Tumezidi kuwasiliana,na kuanza kuzoeana ingawa yeye yupo Dar ,na Mimi nikiwa Mwanza
Alianza kama marafiki,tukawa tunapiga stories za maisha hapa na pale,bila kuniambia kuwa ananihitaji kimapenzi
Sasa juzi kanitumia nauli nije huku Dar tukutane na kufahamiana zaidi,basi nikamwambia hamna shida
Nikaanza safari,kufika Dodoma ndo akaanza kuingiza stories za kulala pamoja,nikamwambia for first time haitawezekana,nitakuja huko tutaonana,basi siku nyingine nikija ndo tutafanya hivyo,akakubali
Nikafika hapa Dar,akanipokea fresh,akanipeleka hotel tukapata chakula,,ila akawa ananiomba tulale pamoja nikakataa,akalazimisha nikahisi nisipoweka kigingi kizito hapa naweza kuingia online bila matarajio
Basi nikamwambia,kesho yaani nipo tayari kwa hilo unalotaka ila sharti la kwanza tukapime magonjwa ya ngono,akakataa,nikamwambia basi nikachukulie chumba nikalale akaniuliza ila tutalala pamoja,nikamwambia wewe kachukue tutaongea huko chumbani,wakati ananyenyuka nikaita Tax nikasepa na kuzima sim
Haraka zenu muda mwingine mtakuwa mnaambulia zero,na kwa nini hutaki kupima zinaa kwanza,wengine tuna allergy na kondom,I'm sorry jamani,nipo nakata tiketi kwa ajili ya safari ya kesho
[emoji23].mimi hata ukinipost haina madhara waga sijipaishi kiivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulia na wewe nisije kukupost bure na mpensi wako ule
Ataje bathi hata kwa codeMm bwana sitaki kujichosha atuambie tu ni nanii
Ina maana mpaka sasa hamkujua muhusika?Lol akiweka id yake nadhani hilo vagi lake hapata tosha humu endapo mlengwa ana totoz kama zote humu!!
Cc Smart911