Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Hayo maswali ungemuuliza mtoa mada..

Mimi kwa uwezo wangu wakusoma miandiko na kuangalia mada za huyu hazijakaa kikike kabisa ila naweza nikawa sipo sahihi pia
Hivi mnatafutaga nini kujifanya wanawake? Mnajisikia rahaaaa kutongozwa sio.

Mjue tu kila kitu kina mwanzo, tutabakia kulia tu na watoto wetu wa kiume kumbe mambo yenyewe ndio kama haya.
 
Umekimbia kutomuelewa au umekimbia mkuyenge?
 
 
Yaani ni jinsi gani umeonyesha wewe ni kicheche yaani mmefahamiana kwenye mtandao na nauli umetumiwa na umejileta ?hata ukiliwa ni haki yako
 
cutelove,
Hongera dada Cutelove, kwa kumkomesha huyo mvulana kama alitaka wa faster si angeenda Kimboka, na corner bar. Yaani umeonesha msimamo ambao mwanamke anayejitambua anapaswa kuwa nao. Hongera sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…