cutelove, ]Sasa hapa kosa la huyo kaka ni kuwa na papara za kukufunua mapema au kukataa kwenda kupima Magonjwa ya zinaa?
Anyway hisia zangu zinaniambia Kwa jinsi ulivyoandika ni kama vile Jamaa Angeweza kuwa mvumilivu kidogo kama ulivyotaka wewe Angeweza Kula kitumbua chako vizuri kabisa Bila hata kwenda kupima hayo Magonjwa ya zinaa.
Sema Sasa mpaka siku Anakuja kukushusha chupi angekuwa ameshatoboka Sana mfuko yaani kama ni mtaji ungebaki nusu, na yeye ili kuhepusha Hilo akataka mmalize business mapema..
Na kwa sababu haukuwa tayari kuliwa kabla haujafaidi vingi vya Jamaa ukaona njia pekee ya kumkacha ni kumletea hizo Habari za kupima HIV na ulifahamu fika kwamba Hilo Kwake litakuwa ni suala gumu. LAKINI NAAMINI KABISA HATA KWAKO WEWE HILO SUALA LA KUPIMA NI GUMU SANA NA ULITAMKA TU HIVYO KUTINGISHA KIBERITI NA JAMAA AKATINGISHA KWELI NA WEWE NDIO UKASHIKILIA HAPO HAPO, NA ENDAPO KAMA ANGERIDHIA SHARITI LAKO HATA WEWE USINGEENDA KUPIMA SABABU WEWE MWENYEWE NI MGAWAJI.
Mpaka unafunga safari ya kutoka Mwanza hadi Dar tena kuonana na mtu Baki tu Halafu ni mwanaume kwa gharama lazima ulikuwa unajua nini kinaenda kutokea mwisho wa safari(Kutombanna).
Kusema kwamba eti ulimfuata Dar kufahamiana nae tu hizo ni kamba ambazo hazimfungi mtu yeyote hapa, wewe ulijua kabisa unaenda kupigwa mashine na kufaidi vitamu vya Jamaa.
Kilichotokea huko ni kwamba umeishia kuwa disappointed baada ya kumkuta Jamaa yuko tofauti na jinsi alivyo jinasibu kabla hamjaonana na hiyo ndio ikawa deal breaker.
Pole Sana ziende kwa Baharia mwenzetu kwa kupoteza mechi kizembe Sana haikutakiwa kabisa iwe hivi, Yaani hii thread ya kishujaa ilitakiwa iwe ya kilio wanawake wenzako wawe wanatapika nyongo hapa Sasa hivi baada ya kuwa umeliwa na kuachwaa kwenye mataa Bila hata nauli ya kurudia. Endelea kuwa makin ila ipo siku utajaa tu labda uache hiyo tabia.