Wewe kaka wa JF umekuwa na papara hadi nimeshtuka

Hivi ukishapima muda huohuo unaruhisiwa kuingia kavu kavu sio baada ya three months embu madaktari tufafanulieni.
 
cutelove, ]Sasa hapa kosa la huyo kaka ni kuwa na papara za kukufunua mapema au kukataa kwenda kupima Magonjwa ya zinaa?

Anyway hisia zangu zinaniambia Kwa jinsi ulivyoandika ni kama vile Jamaa Angeweza kuwa mvumilivu kidogo kama ulivyotaka wewe Angeweza Kula kitumbua chako vizuri kabisa Bila hata kwenda kupima hayo Magonjwa ya zinaa.

Sema Sasa mpaka siku Anakuja kukushusha chupi angekuwa ameshatoboka Sana mfuko yaani kama ni mtaji ungebaki nusu, na yeye ili kuhepusha Hilo akataka mmalize business mapema..

Na kwa sababu haukuwa tayari kuliwa kabla haujafaidi vingi vya Jamaa ukaona njia pekee ya kumkacha ni kumletea hizo Habari za kupima HIV na ulifahamu fika kwamba Hilo Kwake litakuwa ni suala gumu. LAKINI NAAMINI KABISA HATA KWAKO WEWE HILO SUALA LA KUPIMA NI GUMU SANA NA ULITAMKA TU HIVYO KUTINGISHA KIBERITI NA JAMAA AKATINGISHA KWELI NA WEWE NDIO UKASHIKILIA HAPO HAPO, NA ENDAPO KAMA ANGERIDHIA SHARITI LAKO HATA WEWE USINGEENDA KUPIMA SABABU WEWE MWENYEWE NI MGAWAJI.

Mpaka unafunga safari ya kutoka Mwanza hadi Dar tena kuonana na mtu Baki tu Halafu ni mwanaume kwa gharama lazima ulikuwa unajua nini kinaenda kutokea mwisho wa safari(Kutombanna).

Kusema kwamba eti ulimfuata Dar kufahamiana nae tu hizo ni kamba ambazo hazimfungi mtu yeyote hapa, wewe ulijua kabisa unaenda kupigwa mashine na kufaidi vitamu vya Jamaa.

Kilichotokea huko ni kwamba umeishia kuwa disappointed baada ya kumkuta Jamaa yuko tofauti na jinsi alivyo jinasibu kabla hamjaonana na hiyo ndio ikawa deal breaker.

Pole Sana ziende kwa Baharia mwenzetu kwa kupoteza mechi kizembe Sana haikutakiwa kabisa iwe hivi, Yaani hii thread ya kishujaa ilitakiwa iwe ya kilio wanawake wenzako wawe wanatapika nyongo hapa Sasa hivi baada ya kuwa umeliwa na kuachwaa kwenye mataa Bila hata nauli ya kurudia. Endelea kuwa makin ila ipo siku utajaa tu labda uache hiyo tabia.
 
Mkuu umewaza Sana kwa hii comment. Na Huu ndio ukweli wenyewe.

Unajua humu JF unaweza ukawa hata MO dewj au Kangi Lugola na watu baadhi wakakuamini kwa 100%, na Imani hizo kuziondoa ni mpaka siku wakutane na wewe Ana kwa Ana.

Kweli kuna watu na watu katika Dunia hii
 
Daaaaaa...jamaa itakuwa alipiga puch*
 
Vipi kama ungeliwa kiboga mama ungeleta mrejesho hapa?
Hivi bado kuna mtu anatuma nauli kwa demu ambae hata hamjawahi kuonana!!? Kweli huyo jamaa ni bwege tu ndo maana ukamuacha kirahisi sana.
Mkuu usifikiri matusi yako nayavumilia tu, hapa nilipo nina maumivu ya karibia laki moja
'Bwege mwenyewe'
 
Unaweza kuja kushangaa kwamba mleta mada ni kidume mwenye makende yake ya kutosha lakini anatuzeveza
 
Wow!! Naona ameiwakilisha vizuri kambi pinzani Leo ni furahaa tu[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimefurahi kwasababu bidada kasimamia msimamo wake, jamaa aliamini lazima amkule. Wakati mwingine mtu unataka urafiki lakini mwenzako anawaza ngono tu. Uchumba mzuri unaanzia kwanza kwenye urafiki sio kukurupuka kubanduana!
 
Dada unanichanganya kweli.

Kyo hoja muda ulikuwa bado haujafika au hoja ni kupima!?

Na hata km kweli tusimamie na hoja ya muda bdo haiingii akilini
Hv unajua Mwanza mbali dadekiii
Nawaza umbali wa safar tu, hv kweli dada all the way mpk Dar uje umwambie Muda bdo!??[emoji15]

Muda bdo anataka akuoe hyo amekwambia!?
Ww una mpnz wako naamini na hata hyo mwanaume ukute na familia anayo, maana haingii akilini nyote watu wazima msiwe na wapenz

Kyo hapa unafiki acha jmaa alitaka mzgo tu na si vinginevyo, habar ya muda inahusikaje hapa wakt nyote mna hook up.
Na muda ukusaidie nn ww!?
Au unataka kugundua nn!?

Hoja ya muda ni kichaka tu cha kujificha lkn ulikuwa unajua unachokifata
Acha umbea Mkuu( Maisha hayaendi bila unafiki)
Habari ya kujifanya kondomu una allergy nayo nayo ni umbea mwengine wa mchana.
Kama umezoea kavu bwana wako c yupo!?

Hoja ya pili, sawa nayo inakufa kifo cha mende, unapima vp Ukimwi wakt Ninyi ni sex petner...!?
Heat and run, na hata km angejenga kibanda Ukimwi unahitaji maandalizi cyo Mafua hayo dada.

Ungekubali na kondomu bdae penz lingeimarika tartiiibu mngepimana
Mtu saikolojia ipo chini ww unaleta habr za kupimana wakt kinga zipo!?

Mwisho, naamini kbsa ukitulia bdae utagundua uhuni na ushamba ulomfanyia hyo Jamaa. Ukitumia vyema Medula Oblangata hakika utagundua hilo
Umefeli, umeonesha kiwango cha Mwisho cha ujinga.

Unasema wanaume tuna haraka
Hyo alikuwa anakujenga taratiibu tu lkn haraka alikuwa nayo tangu siku ya kwanza
Mengine yalikuwa mbwembwe tu.
Haraka/Pupa ya nwanadamu ni ktk silika zake
“Binadamu ameumbwa na Pupa”
Qur’an.
 
Ngoja na mimi nikutumie nauli uje mi sina papara tutaenda kupima na pia nitakupa siku 2 au 3 za kujifikiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…