christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,841
- 4,531
Hivi ukishapima muda huohuo unaruhisiwa kuingia kavu kavu sio baada ya three months embu madaktari tufafanulieni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good Girl.
Pole sana dear. Wanaume wanadhani ukienda kwake basi umeshamkubali kabisa na uko tayari kumpa kila kitu.
Nani sasa anayekubali?
Hahhaha kwahiyo akaja Pm ukaona pitia comments zake na post zake ukapima kabisa ukaona huyu atakuwa na maisha flani mazuri maana michango yake ipo kwenye watumia magari tu mkahamia what's up namba na kila kitu mwishowe ndo kafeli kijinga hivo?????
Ila kuna watu majasiri mi kutongoza mtu nisiyemjua siwezi niliacha form 4...
Mkuu usifikiri matusi yako nayavumilia tu, hapa nilipo nina maumivu ya karibia laki mojaVipi kama ungeliwa kiboga mama ungeleta mrejesho hapa?
Hivi bado kuna mtu anatuma nauli kwa demu ambae hata hamjawahi kuonana!!? Kweli huyo jamaa ni bwege tu ndo maana ukamuacha kirahisi sana.
Ata wewe unaweza jikuta umefikia huko..
Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimefurahi kwasababu bidada kasimamia msimamo wake, jamaa aliamini lazima amkule. Wakati mwingine mtu unataka urafiki lakini mwenzako anawaza ngono tu. Uchumba mzuri unaanzia kwanza kwenye urafiki sio kukurupuka kubanduana!Wow!! Naona ameiwakilisha vizuri kambi pinzani Leo ni furahaa tu[emoji1787][emoji1787]
Nikiss tu mzee wa mafurushinimetamani ku kiss hii reply yako kwakweli...[emoji7][emoji8]
[emoji1787][emoji1787] Ebu tusubiri tuonenajua kabla ya huu mwaka kuisha utakuwa ushageuka upande huu tayari 😉😉
Hahhaha Ngabu nakuja kukudai bwana ebu acha kunitegaWow Shualina!
Ukipenda waweza nidai tena zile hino hino [emoji482]...