Hapo kuna kitu bimekibaini haraka za huyu ndugu zina maana zake,, Hisia zangu; pengine ni mgonjwa alitaka awahi kabla hujapoa ukijakupoa ushaliwa,, na lingine yaweza kuwa ni mume wa mtu hivyo alitaka aibe fasta kabla posho alopewa kazini haijaisha akarudi kwa mkewe na swala la kupima naamini kama hana kwa kupima basi anao kwa matemdo yake yaani hajatulia hivyo kumwambia akapime ghafla kiasi hicho ni presha za ku4c kwa kuwa hajatulia hajui ni majibu gani yatajitokeza,,,,, pole zangu zikufikie na hongera kwa ushindi katika shindano hilo ila wakati mwingine jiridhishe na mualiko kuwa una mlengo gani na uwe umejiandaa ki saikolojia ili kama huna uhakika na mwaliko achana nao Tahadhari sisi wanaume wa tz sio wazungu bwana tunasimamisha muda wowote halafu hatuna mazoea ya kuzoea mapaja jamani aliona akichelewa bajeti alokutengea itapungua na hana lengo jema na maisha yako!! Karibu sana Dar es salaam, mkuu!!!