Kwahiyo unataka nife au?Ila na wewe umekula chumvi Sana humu miaka 12 humu unadunda tuuh kipindi hicho Mimi na miaka 19 nakupa kongole kwa hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo unataka nife au?Ila na wewe umekula chumvi Sana humu miaka 12 humu unadunda tuuh kipindi hicho Mimi na miaka 19 nakupa kongole kwa hili
[emoji23][emoji23] Sina Mana hiyoKwahiyo unataka nife au?
Hatuwezi mbona nyie hamtoi mzigo bila helaHivi wanaume hamuwezagi kutoa hela kwa mwanamke bila kutaka mzigo??
Kongole!!!!!Hatuwezi mbona nyie hamtoi mzigo bila hela
Siku hizi mambo ndo hivi dada
Hawamjazii server. Melo anapiga hela kwa vile mada hizi zinabamba mbaya. Huoni huu ulikofikia. Hapa tu Melo keshapiga hela ndefu sana ya matangazo. Ndo maana nyuzi hizi hazifutwi (kwa haraka) hata watu walalamike namna gani...Melo awasamehe bure kwa kumjazia server. Ila porojo zao ni Ardhi na Mbingu hata ukiconnect dots hupati cha kueleweka [emoji23][emoji23]
V.P akaamua kuconclude ID ni za mtu mmoja zinajichamba zenyewe .
Mambo meusiii kabisa haya
Kumbee🤔Hawamjazii server. Melo anapiga hela kwa vile mada hizi zinabamba mbaya. Huoni huu ulikofikia. Hapa tu Melo keshapiga hela ndefu sana ya matangazo. Ndo maana nyuzi hizi hazifutwi (kwa haraka) hata watu walalamike namna gani...
Sasa dada mpaka unatumiwa nauli umfuate dar bado tu hujajua nia yake kweli? Kama haukuwa tayar hata nauli yeke usingepokea basi,..
Wakati mwingine wanawake acheni ujinga
Hatuwezi mbona nyie hamtoi mzigo bila hela
Si anatufundisha tupunguze papara?Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Unaogopa eeeh!!!Kwahiyo unataka nife au?
YetooooUnaogopa eeeh!!!
Hahahahahaahhh!!!Yetoooo
Uti kifwa nte chedi!!!!!Hahahahahaahhh!!!
naona mada zako nyingi humu zinawa attack wanaume tuHivi kuna mahali nimesema wanaume wamenikosea??