St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
Alinichanganya na mbinu zake
Ndo hivyo ila huyo mwanaume aliyeshindwa kumlala ni version halisi za 'wanaume wa Dar' yaani mimi nikuite uje halafu unipe masharti !!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakujaje sasa kifwala kama mleta thread mpaka uamue kuja ni kwamba umekubaliana na kukulwa
PoleSitumii
Ukiona mtu anaogopa sana kupima basi ana michezo mingi ya hatari anachezaga.
Ndo hivyo ila huyo mwanaume aliyeshindwa kumlala ni version halisi za 'wanaume wa Dar' yaani mimi nikuite uje halafu unipe masharti !!!!
Nakuitia washikaji na wanakuliza na unarudi kwenu na majonzi.
Huyo jamaa kafeli vibaya mno, mwanza to dar unagaramikia alafu unatoka kapaNdo hivyo ila huyo mwanaume aliyeshindwa kumlala ni version halisi za 'wanaume wa Dar' yaani mimi nikuite uje halafu unipe masharti !!!!
Nakuitia washikaji na wanakuliza na unarudi kwenu na majonzi.
Unaenda kwa mwanaume kufanya nini. Mwanaume anakuita kutoka Mwanza hadi Dar mje kupiga story.Pole sana dear. Wanaume wanadhani ukienda kwake basi umeshamkubali kabisa na uko tayari kumpa kila kitu.
[emoji16][emoji16] wote hawapo seriousYani mtu aache shughuli zake amfuate mtu mbali hivyo eti wasalimiane.
Mbona hakwenda kumsalimia mjomba wake kijijini
Kanishangaza sana na mleta mada ananiuliza ningeanzia wapi kumbaka?? [emoji3] [emoji3] Serious hilo ni swali. Naanzia popote ili mradi niingie mwilini kwake.Huyo jamaa kafeli vibaya mno, mwanza to dar unagaramikia alafu unatoka kapa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Niacheee na ufupi wangu mwenyewe naupenda
Halafu mbona haujamalizia ufupi na ubonge
Well said mkuu jpili njema kwakoUnaenda kwa mwanaume kufanya nini. Mwanaume anakuita kutoka Mwanza hadi Dar mje kupiga story.
Wanaume wenyewe hawa.
Whatsapp video call hamna!! Kama angetaka urafiki wa kawaida asingekuita toka Mwanza hadi Dar, urafiki wa kawaida huwa unaendelea hata kwenye simu tu.
eti katoka mwanza mpaka dar kwenda kumsalimia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nakujaje sasa kifwala kama mleta thread mpaka uamue kuja ni kwamba umekubaliana na kukulwa
Kuna wanawake mna akili sana humu ila kuna wengine ni Vigagula wenyewe wanapelekwa na hisia. Sijui alikuwa hajawahi kupanda basi kwa muda mrefu.Unaenda kwa mwanaume kufanya nini. Mwanaume anakuita kutoka Mwanza hadi Dar mje kupiga story.
Wanaume wenyewe hawa.
Whatsapp video call hamna!! Kama angetaka urafiki wa kawaida asingekuita toka Mwanza hadi Dar, urafiki wa kawaida huwa unaendelea hata kwenye simu tu.
Wasipokuja kuweka humu akina sie tutajuaje wot iz goingi oni...eti bebeπHivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread