Sio ulevi ni haki ya msingi kwa mtu mwenye afya njema na anayekula akashiba.
Ukikubali Kulaliwa Mwisho Utapasuka Utakuwa Kama PonoJamani sio bwege! Mimi simo
Uhh wee naallergy na suprises nsije nkadondoka bure
Hakuna fundisho hapo, wewe ndio unatakiwa ujifunze nyuki hazichokozwi una bahati umechokoza nyuki wa mashineni.Ni fundisho kwa wale wanaume ambao unakuwa naye kwenye mahusiano bila kukwambia wanataka mahusiano ya kimapenzi
Ushaanza[emoji23][emoji23].Haki ya msingi kwa mujibu wa nani?
Ulimfatia nini sasa Mwanza hadi Dar. Au hujawahi kupanda mabasi ya kwenda mikoani ndio mtu anaina nafasi imejitokeza. Urafiki si mnajenga hata kwenye simu?? Fanya mawasiliano ya kuzoeana kwenye simu. Siku ikitokea umeenda Dar na mishe zako mpe taarifa mtaonana mtasalimiana na hawezi kukuwekea vikwazo au kukupangia vitu.Kwani kuna ulazima wa kusex na mtu kama bado hamjawa karibu zaidi?
Em sitisha hiyo safari, njoo tukapime na mimiNamuona online, akipenda atakuja mwenyewe
[emoji8] factUlimfatia nini sasa Mwanza hadi Dar. Au hujawahi kupanda mabasi ya kwenda mikoani ndio mtu anaina nafasi imejitokeza. Urafiki si mnajenga hata kwenye simu?? Fanya mawasiliano ya kuzoeana kwenye simu. Siku ikitokea umeenda Dar na mishe zako mpe taarifa mtaonana mtasalimiana na hawezi kukuwekea vikwazo au kukupangia vitu.
Sababu pa kufukia unapo, nauli umejileta mwenyewe kwa mishe zako na ya kuondoka unayo pia. Hasa mtoa mada hapa kaja safari ambayo kapangiwa na mtu na kaondoka bila kupenda. Maisha gani hayo.
Hivi wanaume mbona mnapenda kuwakomesha wanawake ila ninyi hampendi wao wawakomeshe?Sasa ww ulitaka usafiri 900km uende kumsalimie tu?..hamna haja ya kumfuata mtu wa jinsia tofauti umbali huo km huna hisia nae la sivyo inakuwa ni njaa tu.
Mtakuja kunyongwa
Anatuoneshea🏃Hivi haya mambo kwa nn yasiishie ukouko pm mpaka mje kuweka na thread
Luck of maturity dadaAnd here we go again!!!
Mnashindwa nini kumaliza mambo yenu ya whatsapp huko huko whatsapp?
Kwani mlivyopeana namba mlitushirikisha?
Mafurushi.
Wanatushirikisha maupuuzi yasiyotuhusu. Kimsingi thread haina umuhimu wowote hapa kujaza server tuAnd here we go again!!!
Mnashindwa nini kumaliza mambo yenu ya whatsapp huko huko whatsapp?
Kwani mlivyopeana namba mlitushirikisha?
Mafurushi.
Hapo sasa.Sasa unaenda kufanyaje? Ni mdogo wako huyo useme utaenda kujadili nae namna ya kumlipia ada? Mambo mengine ni kujiongeza tu kidogo lasivyo mtaishia kutulaumu yani nigharamike uje unipigishe story
Mbona ndio wanawake mnapendaga Hakuna fundisho hapo, wewe ndio unatakiwa ujifunze nyuki hazichokozwi una bahati umechokoza nyuki wa mashineni.
Nimelaumu sana huyo msela kama kweli hakumla huyo digidigi.
Yaani kuna wanaume wachache wanatuangusha sana.
Akija usisahau kuniitaWe kaka uliyekimbiwa usikubali nakwambia njoo hapa utupe ushuhuda otherwise hiii ni chai tena ya maji ya chumvi isiyo hata na viungo.