Wewe kaka wewe, toka huko PM njoo uniahidi hapa

Wewe kaka wewe, toka huko PM njoo uniahidi hapa

jamaa kakuona wewe very cheap afu unakuja kujisifia humu..sasa elfu 30 si ni pesa ya pipi tu au?
 
Jichanganye uumpe hapo ndo utajua kama anakupa ahadi za kweli au uongo.
 
Jamani kuna mkaka humu huwa tunapiga stories sana pm ila nimepata mashaka kwa ahadi anazo niahidi

1. Nikimkubalia atakuwa ananipa hela ya matumizi kila siku si chini ya elfu 30

2. Nikimkubalia ataninunulia gari na nyumba Tanga

3. Nitasimamia kituo cha mafuta moja ya shell pale Tanga

Wadau nimekuwa na mashaka na ahadi zake hizi nzito kama ni kweli mpaka muda mwingine nakuwa na mashaka na ahadi zake

Naomba aje hapa anithibitishie kama kweli ni ahadi za kweli na kama ni kweli nipo tayari kuwa mke wake wa 4

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na tamaa ya fedha fedha ni maua na tena zinaua
 
Jamani kuna mkaka humu huwa tunapiga stories sana pm ila nimepata mashaka kwa ahadi anazo niahidi

1. Nikimkubalia atakuwa ananipa hela ya matumizi kila siku si chini ya elfu 30

2. Nikimkubalia ataninunulia gari na nyumba Tanga

3. Nitasimamia kituo cha mafuta moja ya shell pale Tanga

Wadau nimekuwa na mashaka na ahadi zake hizi nzito kama ni kweli mpaka muda mwingine nakuwa na mashaka na ahadi zake

Naomba aje hapa anithibitishie kama kweli ni ahadi za kweli na kama ni kweli nipo tayari kuwa mke wake wa 4

Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndiyo wewe mwenye sweta la Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'1,Nikimkubalia atakuwa ananipa hela ya matumizi kila siku si chini ya elfu 30'.

Aisee mkubali tu msela kuliko yule wa kula tunda kimasihara na kukuachia manyoya kwa 7800.
😂😂😂😂😂
 
Jamani kuna mkaka humu huwa tunapiga stories sana pm ila nimepata mashaka kwa ahadi anazo niahidi

1. Nikimkubalia atakuwa ananipa hela ya matumizi kila siku si chini ya elfu 30

2. Nikimkubalia ataninunulia gari na nyumba Tanga

3. Nitasimamia kituo cha mafuta moja ya shell pale Tanga

Wadau nimekuwa na mashaka na ahadi zake hizi nzito kama ni kweli mpaka muda mwingine nakuwa na mashaka na ahadi zake

Naomba aje hapa anithibitishie kama kweli ni ahadi za kweli na kama ni kweli nipo tayari kuwa mke wake wa 4

Sent using Jamii Forums mobile app
Oyooooooooooooooooooo kumekucha sasa, sema ahadi hizi unanyota nzuri sana. Anakutabiria utajiri uliotukuka
 
Jamani kuna mkaka humu huwa tunapiga stories sana pm ila nimepata mashaka kwa ahadi anazo niahidi

1. Nikimkubalia atakuwa ananipa hela ya matumizi kila siku si chini ya elfu 30

2. Nikimkubalia ataninunulia gari na nyumba Tanga

3. Nitasimamia kituo cha mafuta moja ya shell pale Tanga

Wadau nimekuwa na mashaka na ahadi zake hizi nzito kama ni kweli mpaka muda mwingine nakuwa na mashaka na ahadi zake

Naomba aje hapa anithibitishie kama kweli ni ahadi za kweli na kama ni kweli nipo tayari kuwa mke wake wa 4
Duuh
 
Back
Top Bottom