Wewe kama uliwahi kutumia hii chanuo alafu bado unajitafuta umeishafeli

Wewe kama uliwahi kutumia hii chanuo alafu bado unajitafuta umeishafeli

Morning_star

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2018
Posts
6,042
Reaction score
17,320
20240705_213511.jpg


Je, ulitumia hii chanuo na bado unajitafuta hujajipata? Angalau uwe na mtoto wa kukuita baba inatosha
 
View attachment 3034526je ulitumia hii chanuo na bado unajitafuta hujajipata? Angalau uwe na mtoto wa kukuita baba inatosha
Hii two in 1 yani chana na kioo mahusihusi kwa wenye nywele fupi yani wanafunzi ofcourse watu wa elfu mbili weng wametumia...nakumbuka pale kiborilon zilikua zinauzwa na wale wa kila kitu mia mbili
 
Hakuna uhusiano kati ya chanuo mafanikio ya mtu binafsi.
Anachozungumzia mleta mada hizo chanuo za kitambo sana.
It means kama umewahi tumia hilo chanuo na bado unajitafuta aisee umeyumba,maana wewe ni mtu mzima sanaa ulipaswa kutumia muda vizuri.
 
Back
Top Bottom