Wewe kama uliwahi kutumia hii chanuo alafu bado unajitafuta umeishafeli

Najitafuta, sijajipata na wala sijui niko wap wala nitajipata lini…
 
View attachment 3034526je ulitumia hii chanuo na bado unajitafuta hujajipata? Angalau uwe na mtoto wa kukuita baba inatosha
Hii two in 1 yani chana na kioo mahusihusi kwa wenye nywele fupi yani wanafunzi ofcourse watu wa elfu mbili weng wametumia...nakumbuka pale kiborilon zilikua zinauzwa na wale wa kila kitu mia mbili
 
Hakuna uhusiano kati ya chanuo mafanikio ya mtu binafsi.
Anachozungumzia mleta mada hizo chanuo za kitambo sana.
It means kama umewahi tumia hilo chanuo na bado unajitafuta aisee umeyumba,maana wewe ni mtu mzima sanaa ulipaswa kutumia muda vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…