[QUOTE="Booster10, post: 34266758, member: 579368"
Sent using Jamii Forums app
[/QUOTE]
Mm pia nimeshangaa....kikubwa kwenye Timu ni ushirikiano.
Sent using Jamii Forums app
[/QUOTE]
Mm pia nimeshangaa....kikubwa kwenye Timu ni ushirikiano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio aliipandisha hapo ilipo. Toeni pumba zenu za uzalendo shuduHuyu Glealish nilikuwa namkubali sana kumbe sikujua kama ni mbinafsi hivi sasa hivi ndio nimejua kwa nini Villa wapo ile nafasi jamaa ni mbinafsi sana huyu.
Kamuangalie firminho yeye ndo katoa assist 3 jana. Kama samata anasubiri aletewe mwambieni hayuko bongo. Mpira umebadilikanikuulize kitu samata ana shot on target au off target kwa hizi game mbil?? ukiacha gori alilopiga je kuna mchezaji yoyote alie mpa assist ya goli Samatta [emoji848][emoji848][emoji848]
Huenda rangi nyeusi hawaipendi ila hawasemi.nikuulize kitu samata ana shot on target au off target kwa hizi game mbil?? ukiacha gori alilopiga je kuna mchezaji yoyote alie mpa assist ya goli Samatta 🤔🤔🤔
Hata Glealish anacheza kwa maelekezo ya kocha.
Naamini Samata alikuwa anazunguka eneo la 18 muda wote kwa maelekezo ya kocha, Samata huwa sio mtu wa kusubiria mipira Kama tulivyomuona jana.Shida ipo kwa samata kuzengea zengea kusubil mpira hiyo kitu haipo siku hizi atoke atafute nafas aache mpira wa kizamani vinginevyo Glealish tutamuona mbaya sanaaaa huu mwaka
Tena kama wewe hapo kabisaaandio hivyo lakn humu tukisema ukwel wanasema ni mrozi ukizeeka utakuwa mchawi. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi wadau hatuongei sana na hatukufundishi ila utakuwa
ushaelewa kinachoendelea hapo Mbele....hivi ana matatizo gani huyu kijana wako Glealish?
Sasa kaa na kijana wako umwambie kabisa kwamba hicho kitabia chake cha kike wadau hatujakipenda!!!
Ahsante.
😆😆😂wabongo tunashida Eti kila mpira wampe Samatta tu 😂😂😂Tena kama wewe hapo kabisaaa
Na inaonekana unatokea Sumbawanga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jack Grealish ndie father wa tim ujio wa samatta anaona amekuja kuchukua ufalme wake hivyo anacheza kijelousSisi wadau hatuongei sana na hatukufundishi ila utakuwa
ushaelewa kinachoendelea hapo Mbele....hivi ana matatizo gani huyu kijana wako Glealish?
Sasa kaa na kijana wako umwambie kabisa kwamba hicho kitabia chake cha kike wadau hatujakipenda!!!
Ahsante.
Mtamuaribia samatta kwa mambo yenu ya kiswahili mpira hauchezwi kwenye pages
jiandae kuitwa mchawi 😂😂😂
Na debruyne?Grealish ndio mchezaji anaeongoza kwa kutoa assist passes nyingi EPL, fuatilieni takwimu