Wewe Kocha wa Aston villa... safu yako ya ushambuliaji kuna tatizo hapo umeligundua?k

Wewe Kocha wa Aston villa... safu yako ya ushambuliaji kuna tatizo hapo umeligundua?k

jiandae kuitwa mchawi [emoji23][emoji23][emoji23]
kwani sio mchwawi[emoji3].
Yeye kama anaweza asaivi angekua anacheza Epl kama ni rahisi kama maneno mdomoni.
Hata tunapokosoa tukosoe penye kosa, tatizo letu sisi kauli zetu zimekaa ki-jealous "Samatta bado sana Epl/ samatta hafiki popote/ atasugua benchi " nk
Tukosoe kosa bila chuki na maneno ya kukatisha tamaa kama hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
samata kwa mchezo wake asipo badilika kufuata mfumo wa aston ataanza kusugua bench soon japo watu watasema huu ni urozi lakn ndio ukweli
acha unafiki anacheza vile kwa maelekezo ya kocha sio unadhani anacheza tu kama unavocheza singeli..

Chicharito umeshawahi kumuona anarudi nyuma?, Morata je? au kisa ni mbongo mwenzako eeh?

Niambie basi Aston Villa wanacheza kwa mfumo gani? Wanapita wapi kama unajua kweli!
 
Grealish ndio mchezaji anaeongoza kwa kutoa assist passes nyingi EPL, fuatilieni takwimu
Wewe wa wapi wewe? weka data hapa acha maneno, anachoongoza yeye ni kuchezewa faulu ni hii nadhani ni kwa sababu anakaa sana na mpira, kitu ambacho sio kizuri sana ikiwa timu inaenda speed.
 
kwani sio mchwawi[emoji3].
Yeye kama anaweza asaivi angekua anacheza Epl kama ni rahisi kama maneno mdomoni.
Hata tunapokosoa tukosoe penye kosa, tatizo letu sisi kauli zetu zimekaa ki-jealous "Samatta bado sana Epl/ samatta hafiki popote/ atasugua benchi " nk
Tukosoe kosa bila chuki na maneno ya kukatisha tamaa kama hayo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe kwenye Soka pia humo!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ipo kwa samata kuzengea zengea kusubil mpira hiyo kitu haipo siku hizi atoke atafute nafas aache mpira wa kizamani vinginevyo Glealish tutamuona mbaya sanaaaa huu mwaka
Samata ni mpambanaji kaka zaidi jionee mavituz haya, tumpe muda azoee mazingira ya Uingereza
 
mtaalam hivi haaland kwel unamuweka bakuli moja na Samatta seriously [emoji848][emoji848]haaland anatoka anasaka nafas ana dribble anatumia nguvu anakimbia na Sancho akiwapunguza kazi kwisha ukwel mchungu samata a change kutokana na uchezaj wa aston hawapigi krosi atakazo funga kwa kichwa wanapiga pasi mpak kweny D lakn huku tunaishia kumtukana le captain Glealish [emoji23][emoji23][emoji23]
Tofautisha playmaker na central striker.

Acheni wivu jamani. Sio lazima mfumo uliokariri ndio kocha alichonwelekeza.

Tunatakiwa tuanze kulaumu baada ya kujua kocha wake kamwelekeza nini? Kama kaambiwa awabugudhi mabeki je?
Nimecheza hiyo nafasi si kama unavyofikiria.

Kwenye mpira kuna game approach inayoendana na formation, personal task, game management na kujituma binafsi.

Mnalaumu msichokijua.
Hivi hajawahi kuona mchezaji unayemuona hachezi vizuri anamuweka mchezaji unayemwona mkali benchi?

Kuna kitu kinaitwa team chemistry? Usitegemee mchezaji mechi ya pili acheze sawa na wachezaji waliozoeana.

Jifunzeni mpira mtaujua hamjachelewa bado.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jack Grealish mzee wa kupiga mwingi.
Namkubali sana huyo fundi wa Kiingereza.
 
Back
Top Bottom