Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
muamsheni huyo anaota asije jipupulia.Hiyo ndoto ya mchana au ya Kimweri?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
muamsheni huyo anaota asije jipupulia.Hiyo ndoto ya mchana au ya Kimweri?!
Ile kuwa afrika tu, ndoto ilishafelimuamsheni huyo anaota asije jipupulia.
Hapo utaonekana chizi labda uchimbe viazi na mihogo.Ile kuwa afrika tu, ndoto ilishafeli
Asante kwa kunijibia
Hana hata demu😂😂Daaa maishaa bhanaa ,ss km ww unalaumu wazazi kukupeleka shule na wtt wako VP mkuu uliwapeleka shule au uliacha wapambanie wanachoaminii..
Niancheni niwini, majungu msinipake - Langa KileoWote tukiwa matajiri nani atamsaidia mwenzake? Hakuna haja ya kulaumu.
If you think you can win, then the trophy is yours. Don't let it slip away.Niancheni niwini, majungu msinipake - Langa Kileo
Mbona kuna wenzio na elimu hio hio wamekuwa matajiri na wana viwanda? Mimi najilaumu mwenyewe. Nimeshindwa mwenyewe tu simlaumu yeyote.Humiliki kiwanda chochote, hakuna bidhaa unayozalisha na kuipelekea nje; wewe kila siku ni kulia lia tu.
Mshahara ukichelewa tu kidogo, unakimbilia kwenye ule uzi pendwa.
Kwa upande wangu, mi nawalaumu wazee wangu walionipa elimu iliyofuta mawazo yangu niliyozaliwa nayo (kipaji), na kubeba mawazo (elimu) ya watu wengine yanayonifanya nifikiri nitakuwa tajiri kwa kuajiriwa miaka yangu yote.
Yaani ni sawa sawa na kompyuta uliokuwa unaitumia mwanzoni, kutoa ''hard disk'' ya zamani na kuiwekea ''hard disk'' nyingine yenye uwezo mdogo.
Nina ndoto za kuja kuwa mwekezaji wa uchimbaji wa visima vya mafuta huko mashariki ya mbali, je nitafanikiwa? ingawa sasa na miaka 77.
Je wewe unamlaumu nani, aliyekufanya usiwe tajiri?