Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Nyie ni wajinga. Fisadi wa kwanza ni huyu Makonda. Alipora watu nyumba, magari na kukwepa Kodi.Kama hamna ajenga nyie Mafisadi ,Mazembe na mko kwenye ofisi za Umma lkn mnakosa uzalendo na utu kwà watu maskini hawa.Mwacheni Makonda awafute machozi watu hawa wanyonge wanateseka sana kwà sababu yenu.
Hawa watoto akili zao zilishaharibika.Hahahahahahahahahahaahahaha.........hatari....
Kwa mujibu wa ukurasa wako ni ruksa kufanya ufisadi ilimradi tu baadaye usimamie vyema kwenye kuwamopesha mafisadi wengine?Makonda anachonikera ni kuipigania CCM ya wahuni .
Vinginevyo Makonda ni Mtu sahihi sana Kwa Nchi hii iliyojaa rasilimali nyingi na kuhujumiwa na wageni na MAWAKALA WAO.
MAKONDA HATA AKIWA NA KASHFA NYAINGI BADO ANAFAA KUSIMAMIA RASILIMALI NA WATENDAJI WAHUNI WALIOJAZANA KWENYE OFISI ZA UMMA NA Ndani ya CCM.
Kama CCM Iko tayari kufanya mabadiliko basi ni lazima waondoe WAHUNI wanaouza mali za UMMA Kwa WAHUNI kutoka nje ambao wamekua ni marafiki zao na ndugu zao kuliko watamzania wanyonge.
Makonda ni chaguo la wazalendo bila kujali chochote .
Tunamtaka mtu anayeweza kuwawajibisha WAHUNI .
Serikali iliyopo ni wakala wa wageni kuhujumu Nchi hii Kwa kiwango Cha juu sana kuliko wakati mwingine wowote kuwahi kutokea
Duh! Hatari sanaMakonda anachonikera ni kuipigania CCM ya wahuni .
Vinginevyo Makonda ni Mtu sahihi sana Kwa Nchi hii iliyojaa rasilimali nyingi na kuhujumiwa na wageni na MAWAKALA WAO.
MAKONDA HATA AKIWA NA KASHFA NYAINGI BADO ANAFAA KUSIMAMIA RASILIMALI NA WATENDAJI WAHUNI WALIOJAZANA KWENYE OFISI ZA UMMA NA Ndani ya CCM.
Kama CCM Iko tayari kufanya mabadiliko basi ni lazima waondoe WAHUNI wanaouza mali za UMMA Kwa WAHUNI kutoka nje ambao wamekua ni marafiki zao na ndugu zao kuliko watamzania wanyonge.
Makonda ni chaguo la wazalendo bila kujali chochote .
Tunamtaka mtu anayeweza kuwawajibisha WAHUNI .
Serikali iliyopo ni wakala wa wageni kuhujumu Nchi hii Kwa kiwango Cha juu sana kuliko wakati mwingine wowote kuwahi kutokea
Ushahidi anao Philip Mpango. Huyu msanii wenu wa majukwaani watu wanajua madudu yake anafikiri wamesahau.Lete ushahidi [emoji209]
Eti Jo naye kawa chawa wa nyamitako.
Mkuu, unaamini kabisa kwa yale maigizo ya majukwaani kwamba Makonda anawajibisha watu?Makonda anachonikera ni kuipigania CCM ya wahuni .
Vinginevyo Makonda ni Mtu sahihi sana Kwa Nchi hii iliyojaa rasilimali nyingi na kuhujumiwa na wageni na MAWAKALA WAO.
MAKONDA HATA AKIWA NA KASHFA NYAINGI BADO ANAFAA KUSIMAMIA RASILIMALI NA WATENDAJI WAHUNI WALIOJAZANA KWENYE OFISI ZA UMMA NA Ndani ya CCM.
Kama CCM Iko tayari kufanya mabadiliko basi ni lazima waondoe WAHUNI wanaouza mali za UMMA Kwa WAHUNI kutoka nje ambao wamekua ni marafiki zao na ndugu zao kuliko watamzania wanyonge.
Makonda ni chaguo la wazalendo bila kujali chochote .
Tunamtaka mtu anayeweza kuwawajibisha WAHUNI .
Serikali iliyopo ni wakala wa wageni kuhujumu Nchi hii Kwa kiwango Cha juu sana kuliko wakati mwingine wowote kuwahi kutokea
Kataa Wahuni #pKama hamna ajenga nyie Mafisadi ,Mazembe na mko kwenye ofisi za Umma lkn mnakosa uzalendo na utu kwà watu maskini hawa.Mwacheni Makonda awafute machozi watu hawa wanyonge wanateseka sana kwà sababu yenu.
Huu ujinga ujinga wenu ndio mnaanziaga UN na Kuishia kwa RC Makala