Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
English.
mmmh. umechanganikiwa nini sasa?
Sielewi kifupi cha Eng. hata hivyo turudi kwenye mada....mada nayo siielewi
In clandestine world they call "covert operations". Normally people don't discuss until after some time!
Hapo utakua hujanielewa. nimegusia hilo kua kabla ya kujisifu tujitazame kwanza.
What makes you think I would be interested Shaban?
kama umejitazama na umeridhika na matokeo hio ni well and good.
huu uzi ndio umefanya nilog in. Uko so erotic.
naona mimi na wewe tuta blend katika sex. Tukimaliza tutajadili pros and cons. Au unaonaje?
Shaban hivi unadhani kua mwanamke akiongelea sex freely basi ni kwamba anatangaza
au kutafuta soko as some would call it. Ningekua nimechangia threads bila kutaja sex ungekua na
guts za kuniambia haya kwenye post? Unadhani sababu most hawaongelei sex basi ni kua hawapendi?
acheni hizo kasumba na fikra mbaya. Napenda sex, I enjoy it. lakini sina mana kua nalalana ovyo ovyo
na any guy who shows interest. Plz take ur interest somewhere else. BTW kama ushawahi
ku sex hapa hapa unaweza kutoa pros and cons.
Mmmmmh!
.
Wapeeeeee... :high5:Shaban hivi unadhani kua mwanamke akiongelea sex freely basi ni kwamba anatangaza
au kutafuta soko as some would call it. Ningekua nimechangia threads bila kutaja sex ungekua na
guts za kuniambia haya kwenye post? Unadhani sababu most hawaongelei sex basi ni kua hawapendi?
acheni hizo kasumba na fikra mbaya. Napenda sex, I enjoy it. lakini sina mana kua nalalana ovyo ovyo
na any guy who shows interest. Plz take ur interest somewhere else. BTW kama ushawahi
ku sex hapa hapa unaweza kutoa pros and cons.
Kikiletwa kipimo cha kupima kiwango chako cha sex kwa kipimo cha sexkiwangolyzer nani atasogea hapo kupima? Amka baba, Amka mama.
Kati ya mambo yooote yaliyopo duniani, sex ndio mazungumzo yenu. Hivi kuwa member wa JF hadi kiwango changu cha sex kijulikane na wewe?
Haya ukishajua ndio inakuwa nini?
Kama mnauza semeni kwa kunyoosha maongezi. Siku moja moja jadilini mambo ya maana. Akili mmeziweka kwenye sehemu za uzazi basi saa zooote mijadala ni namna gani sehemu za siri za mwanaume zitawatosha, Loh!