HumbleBoy98
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 387
- 396
Afu inamana Mimi ndo hakuna anayependa ID yangu ama๐
Mbona sitajwi?๐
Mbona sitajwi?๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini mkuu?Umekaribia kukaa nyuma ya nondo sasa!
Endelea na harakati zako hiyo kwanini itajijibu ndani kwa ndani..๐kwanini mkuu?
Dah! Stimu zote zimekata!Endelea na harakati zako hiyo kwanini itajijibu ndani kwa ndani..๐
Tutaziunga..๐Dah! Stimu zote zimekata!
Hahah ogopa Sana mtu anakupa warning bila kutumia nguvu! Hakutishi Wala Nini anakwambia tu "wewe endelea unachokitafuta utakipata..." Watu wa hivi sio kabisa๐ ๐ ๐Tutaziunga..๐
Mkuu nakuchimba biti tu
Mkuu go ahead nakuzingua tu simjui huyo bibie we komaa.Hahah ogopa Sana mtu anakupa warning bila kutumia nguvu! Hakutishi Wala Nini anakwambia tu "wewe endelea unachokitafuta utakipata..." Watu wa hivi sio kabisa๐ ๐ ๐
Asante kamanda. You are humble indeed. Blessings [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Shunie, Heaven on Earth Abrianna, Mother Confessor Paula Paul Nyani Ngabu Castr SHIMBA YA BUYENZE, na nyingine nyingi tu.
๐คฃ๐คฃUmekaribia kukaa nyuma ya nondo sasa!
duu hilo jina๐๐๐๐Antentokounmpo...sipo
kaona miguu hiyo๐๐๐Tulia huko huko ulipo.
karibu mkuu๐๐๐๐Naendelea kusoma comments