HumbleBoy98
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 387
- 396
kwanini mkuu?Umekaribia kukaa nyuma ya nondo sasa!
Endelea na harakati zako hiyo kwanini itajijibu ndani kwa ndani..πkwanini mkuu?
Dah! Stimu zote zimekata!Endelea na harakati zako hiyo kwanini itajijibu ndani kwa ndani..π
Tutaziunga..πDah! Stimu zote zimekata!
Hahah ogopa Sana mtu anakupa warning bila kutumia nguvu! Hakutishi Wala Nini anakwambia tu "wewe endelea unachokitafuta utakipata..." Watu wa hivi sio kabisaπ π πTutaziunga..π
Mkuu nakuchimba biti tu
Mkuu go ahead nakuzingua tu simjui huyo bibie we komaa.Hahah ogopa Sana mtu anakupa warning bila kutumia nguvu! Hakutishi Wala Nini anakwambia tu "wewe endelea unachokitafuta utakipata..." Watu wa hivi sio kabisaπ π π
Asante kamanda. You are humble indeed. Blessings [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Shunie, Heaven on Earth Abrianna, Mother Confessor Paula Paul Nyani Ngabu Castr SHIMBA YA BUYENZE, na nyingine nyingi tu.
π€£π€£Umekaribia kukaa nyuma ya nondo sasa!
duu hilo jinaππππAntentokounmpo...sipo
kaona miguu hiyoπππTulia huko huko ulipo.
karibu mkuuππππNaendelea kusoma comments