Impimpi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 466
- 964
Yah hio hioMimi ni mkulima akacheka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah hio hioMimi ni mkulima akacheka sana
Aya majina yanafurahisha😁😁😁Jidu la mabambasi
Ukimwona mwambie ...Kweli mkuu linasadifu yaliyomo
Hatariii😀😀😀😀Tha dog
SanaAya majina yanafurahisha😁😁😁
Noma sana kuna watu wana I'd za ajabu sana!Hatariii😀😀😀😀
ile avatar sio poa😆😆😆Ushimen , na Avatar ilivyokaa huwa nacheka sana
Kweli ukilisoma tu lazima uchekeNoma sana kuna watu wana I'd za ajabu sana!
Mkuu vipi[emoji849][emoji849]
Thank you grandson, eti pisi kali mmh😂financial services
Jina zuri plus pisi kali.
Ni jina tu mkuu wala si pisi kali🤔Kweli mkuu linasadifu yaliyomo
ApiaNi jina tu mkuu wala si pisi kali[emoji848]
Mimi hiyo avatar inanifurahisha😂😂😂😂😂😂 Ww jamaa 😂😂😂 Asante kwa kuniona, kuhusu kuchekesha binafsi cjui nisemaje ila ww ni mtu wa tatu naona unasema nachekesha na n kweli nilibadi I'd kutoka (Mbaga Jr) lakini kuna watu bado wananifahamu.
Nakumbuka nilivobadili I'd kuna jamaa akaona comment yangu kwenye uzi fulani nasifia punyeto bc akaniambia anaupenda/unamchekesha uzi wangu flani hv uliokuwa unaitwa 'jinsi ya kusafisha uume' ambao niliandika nikiwa na I'd ya zamani lakini jamaa akanikumbuka japokuwa nilibadi I'd.
Nakukubali mkuu 🙏
majina ya jf rahaa sana uwezi kupata kokote