Wewe mdau wa JF, username ipi ukiachana na unayotumia inakuvutia?

Wewe mdau wa JF, username ipi ukiachana na unayotumia inakuvutia?

Unamuita nyani ngabu? Lazima amaind kama haijui jf😂😂
Yaah ana mind sana tena sana. Hapo ndo mwanaume naanza kutongoza upya yaani... nambembeleza weee kanuna tu... anapenda PENASOL so namletea hiyo. After that i acknowledge the almight kwa kubuni ile kitu make sex nitakayopewa is so phenomenal wallahiii beyond electrocution.

Halafu haijui JF so itakua anahangaika kujua hilo jina linakujaje hadi nimuite ivo!!

That name is seriously a joke to me!😅😆
 
Yaah ana mind sana tena sana. Hapo ndo mwanaume naanza kutongoza upya yaani... nambembeleza weee kanuna tu... anapenda PENASOL so namletea hiyo. After that i acknowledge the almight kwa kubuni ile kitu make sex nitakayopewa is so phenomenal wallahiii beyond electrocution.

Halafu haijui JF so itakua anahangaika kujua hilo jina linakujaje hadi nimuite ivo!!

That name is seriously a joke to me!😅😆
That's so nice hizo jokes zinadumisha upendo na huenda somotemes anamiss kabisa kuitwa hivo ili amind umbembelezee😂😂
 
That's so nice hizo jokes zinadumisha upendo na huenda somotemes anamiss kabisa kuitwa hivo ili amind umbembelezee😂😂
Nikishamu-upset kama ivyo huwa anamind basi nitamuomba msamaha hajibu, nitambembeleza wee hasemi kitu basi nqkuwa simuelewi fulani ivi... am i excused or not?! Jibu nalipataga when we get intimacy yaani anakuwa anajituma mno basi nakuwa na amani then life goes on. God bless the girl!
 
Nikishamu-upset kama ivyo huwa anamind basi nitamuomba msamaha hajibu, nitambembeleza wee hasemi kitu basi nqkuwa simuelewi fulani ivi... am i excused or not?! Jibu nalipataga when we get intimacy yaani anakuwa anajituma mno basi nakuwa na amani then life goes on. God bless the girl!
Safi sana na mdumu milele👏
 
Back
Top Bottom