Wewe mdau wa JF, username ipi ukiachana na unayotumia inakuvutia?

Kuna id kibao siku jizi sizioni. Husninyo Balantanda mzee wa zilipendwa. juve2012 mzee wa kutulisha matango pori kwenye uzi wa C.T.U na kisa cha Rockfellers.
Jason Bourne na kisa cha mwakýembe. Hutaki unaacha. Braza'ngu Mourinho na club ýake iliýojaa fitina Bianconeri.
Kwa kifupi wapo wengi ila nadhani wanapita tu na kucheki nyuzi na kuishia kusoma tu.
 
Mimi hiyo avatar inanifurahisha😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…