Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 512
Kwangu mimi user name zinazonivyutia ni Mzee Mwanakijiji @ financial servise Chief mkwawa @bak. Je wewe mdau mwezangu ni user name gani inayokuvutia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ki ufupi id ambayo inayofurahisha mkuuKuvutia kwa username hakuna uhusiano na umaarufu wa mwenye nayo. Hapa naona umetaja username za ID maarufu ila sioni namna gani zinavutia. Labda ulitaka kumaanisha ID unazozikubali ambalo hili halitegemei hiyo ID ina avatar gani wala username gani mradi unakubali hoja za mtu hata akibadili jina unamjua tu. Muda fulani Ezekiel Mbaga alibadili username na kutumia hii ila tulijua kwa sababu ya uwezo wake wa kuchekesha.
Na mtu anayekukera unamjua tu hata atoe ID mpya kila siku kama yule mzee wa popoma.
ID ninazokubali kwenye majina ni Jana Ulirudi Usiku Mbao za Mawe Robot la Matope My Son drink water na ya jamaa alikuwa anajiita Mke wangu Mjamzito sasa sijui alishajifungua
Jina hilo loh😂😂😂Mbususu Enthusiast mkaldayo hebu badili hii ID asee 😂😂😂
Sawa mkuu mna combination nzuri
Mimi ni mkulima akacheka sanaMimi ni mkulima nikacheka sana
Kweli mkuu linasadifu yaliyomofinancial services
Jina zuri plus pisi kali.
Yaliyomo Yamo.Kweli mkuu linasadifu yaliyomo
Aiseeee😄😄😄