Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

Wewe mkaka wa Jamii Forums mimi mwenzio bado nakupendaa

mamamzungu

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2019
Posts
2,554
Reaction score
4,271
Salaam nyingi kwenu wana JF… niliwamiss sana humu ndani

Leo bwana nimeleta confession yangu juu ya huyu Kijana nilikutana nae humu JF...

Nichukue nafasi Hii kukushukuru sana kwa kuwa na mimi katika kipindi kigumu nilichopitia.. pamoja na madhaifu yangu uliweza kunivumilia hivyohivyo.

Mara ya kwanza sikuwa na feeling’s zozote kwako.. ilikuwa nataka tu pa kupumzisha moyo ila at the end unanifanya nikakupenda kiukweli ukweli ( wanawake huwa inachukua muda mrefu kumpenda mwanaume)

Ila umeniangusha mno wakati mimi ndio nazama kwako wewe ukaibuka ukaacha tena kunipenda..

Nataka nikwambie nakumiss sana na nakupendaa sana.. Kama itatokea Mungu akasema nichague mwanaume wa kuwa nae ningekuchagua wewe mara 100

Nakusubirii umalize ujana tuwe wote pamoja

Happy valentine’s my dear Kaka mnyakyusa
It’s me your Brinn 😍
 
Atakua alikutana na kitu kama hiki 😁
Ukibisha tuma picha
FB_IMG_17383832803043274.jpg

Mwachiluwi kuna dada kamis penzi lako huku
 
Mara ya kwanza sikuwa na feeling’s zozote kwako.. ilikuwa nataka tu pa kupumzisha moyo ila at the end unanifanya nikakupenda kiukweli ukweli ( wanawake huwa inachukua muda mrefu kumpenda mwanaume)

Ila umeniangusha mno wakati mimi ndio nazama kwako wewe ukaibuka ukaacha tena kunipenda..

Nataka nikwambie nakumiss sana na nakupendaa sana.. Kama itatokea Mungu akasema nichague mwanaume wa kuwa nae ningekuchagua wewe mara 100
Amesema yuko safari kama kuna lolote muhimu la kusaidiwa naweza kumuwakilisha
 
Salaam nyingi kwenu wana jf… niliwamiss sana humu ndani

Leo bhn nimeleta confession yangu juu ya huyu Kijana nilikutana nae humu jf..

Nichukue nafasi Hii kukushukuru sana kwa kuwa na mimi katika kipindi kigumu nilichopitia.. pamoja na madhaifu yangu uliweza kunivumilia hivyohivyo.

Mara ya kwanza sikuwa na feeling’s zozote kwako.. ilikuwa nataka tu pa kupumzisha moyo ila at the end unanifanya nikakupenda kiukweli ukweli ( wanawake huwa inachukua muda mrefu kumpenda mwanaume)

Ila umeniangusha mno wakati mimi ndio nazama kwako wewe ukaibuka ukaacha tena kunipenda..


Nataka nikwambie nakumiss sana na nakupendaa sana.. Kama itatokea Mungu akasema nichague mwanaume wa kuwa nae ningekuchagua wewe mara 100

Nakusubirii umalize ujana tuwe wote pamoja

Happy valentine’s my dear Kaka mnyakyusa
It’s me your Brinn 😍
Kumbe humu huwa kuna kupendana pia?
Nami ngoja nikutane na To yeye
 
Back
Top Bottom