DaaahNajua uko humu,sipendi tabia yako ya kutonipa hela ya matumizi
Sawa umenipangishia hapa mjini hotel ya maana lakini hunipi hela ya matumizi na ya matembezi yangu kwenye hili jiji.
Kesho usiponipa hela ya kutosha ya matumizi narudi mkoani
Wanaume wa Jf mshaurini huyu kaka yenu basi,hanipi matumizi kila siku namwambia hanielewi au anataka nitembee kwa mguu kutoka Kimara hadi posta?
MkorofiLipia tangazo.
SinaToka nje na Sweta LA Tanzania wazalendo na nchi yao watajitokeza kukupa msaada