Wewe Mr., kwanini hunitunzi?

Wewe Mr., kwanini hunitunzi?

Sasa nguvu za kiume sii zinaletwa na ndalama maana ukiwa na ndalama tayari unakuwa na nguvu za kiume. Wewe umesema wanaume wa jf hatuna hela alafu unategemea tuwe na nguvu za kiume tena....mbona kama u asking blood from atone mrembo
Weweee acha hizooo umeniweka mahali panguuu kabisa no words finish
 
wewe ni mchaga pure maana nimeangalia hiyo shepu yako kuanzia chini hadi juu,jamaa ana haki yakutokukupa hela
 
Najua uko humu, sipendi tabia yako ya kutonipa hela ya matumizi

Sawa umenipangishia hapa mjini hotel ya maana lakini hunipi hela ya matumizi na ya matembezi yangu kwenye hili jiji.

Kesho usiponipa hela ya kutosha ya matumizi narudi mkoani.

Wanaume wa JF mshaurini huyu kaka yenu basi, hanipi matumizi kila siku namwambia hanielewi au anataka nitembee kwa mguu kutoka Kimara hadi Posta?
Duuh
 
Back
Top Bottom