Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Kimara amna hotel ya maaba
😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimara amna hotel ya maaba
Toka nje na Sweta LA Tanzania wazalendo na nchi yao watajitokeza kukupa msaada
Huyu nae ni tofauti na yule wa 7800?Najua uko humu, sipendi tabia yako ya kutonipa hela ya matumizi
Sawa umenipangishia hapa mjini hotel ya maana lakini hunipi hela ya matumizi na ya matembezi yangu kwenye hili jiji.
Kesho usiponipa hela ya kutosha ya matumizi narudi mkoani.
Wanaume wa JF mshaurini huyu kaka yenu basi, hanipi matumizi kila siku namwambia hanielewi au anataka nitembee kwa mguu kutoka Kimara hadi Posta?
Tembea TU pumbavuuNajua uko humu, sipendi tabia yako ya kutonipa hela ya matumizi
Sawa umenipangishia hapa mjini hotel ya maana lakini hunipi hela ya matumizi na ya matembezi yangu kwenye hili jiji.
Kesho usiponipa hela ya kutosha ya matumizi narudi mkoani.
Wanaume wa JF mshaurini huyu kaka yenu basi, hanipi matumizi kila siku namwambia hanielewi au anataka nitembee kwa mguu kutoka Kimara hadi Posta?
Hoteli ya maana kimara???Hotel ipi iko kimara?[emoji848]
Au unaongelea lodge mkuu.
Si ulikua unaelekea kimara ushafika? anyway nipo survey hapa njoo nkuhifadhi maana hii hali ya hewa ni korofi sanaPlz pokea Sim yangu nimekwama Sinza
Humu jf hawana hela tuseme mara ngapi??Najua uko humu, sipendi tabia yako ya kutonipa hela ya matumizi
Sawa umenipangishia hapa mjini hotel ya maana lakini hunipi hela ya matumizi na ya matembezi yangu kwenye hili jiji.
Kesho usiponipa hela ya kutosha ya matumizi narudi mkoani.
Wanaume wa JF mshaurini huyu kaka yenu basi, hanipi matumizi kila siku namwambia hanielewi au anataka nitembee kwa mguu kutoka Kimara hadi Posta?