Wewe Mr., kwanini hunitunzi?

Wewe Mr., kwanini hunitunzi?

Kama utani ila ndo kweli vileeee.
Anyway jf sihami
 
Sio lazima nikuhudumie kiviiiile, kwani wekiwete..??
Alafu hii tabia ya kua kila nikikukula unakuja kuniandika humu, sio poa...[emoji3525]
Na leo sikuji hapo lodge, nitakua na familia yangu na ukiona vipi bora urudi tu mkoani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lakini moto c anakupelekea vizuri.? Kama moto unawaka vizuri bc mvumilie kwa hicho kidogo.
 
Najua uko humu, sipendi tabia yako ya kutonipa hela ya matumizi

Sawa umenipangishia hapa mjini hotel ya maana lakini hunipi hela ya matumizi na ya matembezi yangu kwenye hili jiji.

Kesho usiponipa hela ya kutosha ya matumizi narudi mkoani.

Wanaume wa JF mshaurini huyu kaka yenu basi, hanipi matumizi kila siku namwambia hanielewi au anataka nitembee kwa mguu kutoka Kimara hadi Posta?

Kukupa Pesa ilikuwa ni sehemu ya makubaliano yenu kabla hujatoka huko Mkoani unakosema? Hotelini alipokupangishia anakuja kukukula tu na kuondoka?
 
Najua uko humu, sipendi tabia yako ya kutonipa hela ya matumizi

Sawa umenipangishia hapa mjini hotel ya maana lakini hunipi hela ya matumizi na ya matembezi yangu kwenye hili jiji.

Kesho usiponipa hela ya kutosha ya matumizi narudi mkoani.

Wanaume wa JF mshaurini huyu kaka yenu basi, hanipi matumizi kila siku namwambia hanielewi au anataka nitembee kwa mguu kutoka Kimara hadi Posta?
Anaye kufanyia hivi ni huyu MAGALLAH R , au ni mwingine?
 
Back
Top Bottom