Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama hujasahau tuuu inaelekea ulikereka sana 😂😂Huyu na yule wa buku saba mia nane yupi ana afadhali?
Si unajua lodge za dar mkoa ndo hoteli 🤣🤣Hotel ipi iko kimara?[emoji848]
Au unaongelea lodge mkuu.
Kila nikiiona hii ID nakumbuka mkuu 😂😂Mama hujasahau tuuu inaelekea ulikereka sana 😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu na yule wa buku saba mia nane yupi ana afadhali?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rafiki ukorofi sasaIyo Ni motel, sio hotel
Haina tofaut na lodge.
Pole Sana kwa yaliyokukuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio lazima nikuhudumie kiviiiile, kwani wekiwete..??
Alafu hii tabia ya kua kila nikikukula unakuja kuniandika humu, sio poa...[emoji3525]
Na leo sikuji hapo lodge, nitakua na familia yangu na ukiona vipi bora urudi tu mkoani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]7800 imeisha?
😂😂😂😂Imebidi ncheke😄
nawe umeamini katoke kimaraKimara kuna hotel ya maana?.!
Najua uko humu, sipendi tabia yako ya kutonipa hela ya matumizi
Sawa umenipangishia hapa mjini hotel ya maana lakini hunipi hela ya matumizi na ya matembezi yangu kwenye hili jiji.
Kesho usiponipa hela ya kutosha ya matumizi narudi mkoani.
Wanaume wa JF mshaurini huyu kaka yenu basi, hanipi matumizi kila siku namwambia hanielewi au anataka nitembee kwa mguu kutoka Kimara hadi Posta?
Huyu sio yule alotoka mwanza kwenda dah,kukutana na basha wake wa humu jf afu wakapopoana?Samahani....
Umetoka Mkoani kuja kuuza mzigo Dar?
#YNWA
Anaye kufanyia hivi ni huyu MAGALLAH R , au ni mwingine?Najua uko humu, sipendi tabia yako ya kutonipa hela ya matumizi
Sawa umenipangishia hapa mjini hotel ya maana lakini hunipi hela ya matumizi na ya matembezi yangu kwenye hili jiji.
Kesho usiponipa hela ya kutosha ya matumizi narudi mkoani.
Wanaume wa JF mshaurini huyu kaka yenu basi, hanipi matumizi kila siku namwambia hanielewi au anataka nitembee kwa mguu kutoka Kimara hadi Posta?