Wewe Mr., kwanini hunitunzi?

Wewe Mr., kwanini hunitunzi?

Humu jf hawana hela tuseme mara ngapi??
Humu unaomba hata nauli hawana.
Wao wanajua shoo za kibabe ila kingine hawana wanaomba hadi vocha wakidai mke wangu mke wangu ndio zao .
Unatuma wanasepa .
Jamii forum elewa ni wanaume hawana pesa .
Upo hotelini katafute danga akupe pesa urudi lasivyoo utapewa mimba huko huko ulipo ni wamaskini
Nkafikiri unamahauri akafanue kaz apaye hela kumbe akafanye kudanga tena
Dah kinadada mnajiweza
 
Humu jf hawana hela tuseme mara ngapi??
Humu unaomba hata nauli hawana.
Wao wanajua shoo za kibabe ila kingine hawana wanaomba hadi vocha wakidai mke wangu mke wangu ndio zao .
Unatuma wanasepa .
Jamii forum elewa ni wanaume hawana pesa .
Upo hotelini katafute danga akupe pesa urudi lasivyoo utapewa mimba huko huko ulipo ni wamaskini
Daaah mbona unatukosea sana mashababi wa jamii forum
 
Najua uko humu, sipendi tabia yako ya kutonipa hela ya matumizi

Sawa umenipangishia hapa mjini hotel ya maana lakini hunipi hela ya matumizi na ya matembezi yangu kwenye hili jiji.

Kesho usiponipa hela ya kutosha ya matumizi narudi mkoani.

Wanaume wa JF mshaurini huyu kaka yenu basi, hanipi matumizi kila siku namwambia hanielewi au anataka nitembee kwa mguu kutoka Kimara hadi Posta?
Ni pm namba yako chap
 
Humu jf hawana hela tuseme mara ngapi??
Humu unaomba hata nauli hawana.
Wao wanajua shoo za kibabe ila kingine hawana wanaomba hadi vocha wakidai mke wangu mke wangu ndio zao .
Unatuma wanasepa .
Jamii forum elewa ni wanaume hawana pesa .
Upo hotelini katafute danga akupe pesa urudi lasivyoo utapewa mimba huko huko ulipo ni wamaskini
Dah ndio yamekuwa haya tena jamani wakati wee mwenyewe ulikuwa unatafuta huku huku jf
 
Mna nguvu za kiume??
Hebu wanaume mka discuss mje mniambie kama mna nguvu za kiume halafu nitakujibu
Sasa nguvu za kiume sii zinaletwa na ndalama maana ukiwa na ndalama tayari unakuwa na nguvu za kiume. Wewe umesema wanaume wa jf hatuna hela alafu unategemea tuwe na nguvu za kiume tena....mbona kama u asking blood from atone mrembo
 
Back
Top Bottom