Wewe Mtanzania unayetawaliwa kama Mimi unapata picha gani? Mtoto wa Waziri kugonga magari akiwa amelewa chakali, mtoto wa mbunge kufia Swimming pool?

Wewe Mtanzania unayetawaliwa kama Mimi unapata picha gani? Mtoto wa Waziri kugonga magari akiwa amelewa chakali, mtoto wa mbunge kufia Swimming pool?

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Ni saa 5;50 tarehe 26/08/2022.

Kichwa Cha habari kinajieleza kinatutaka Kila kijana wa kitanzania, mtu mzima wa Tanzania, ambao wote tupo nje ya mfumo WA utawala tunapata picha gani ya maisha ya familia za watawala wetu?je sisi tunayaishi maisha hayo?

Wakati mtoto wa Waziri anagonga magari ya watu akiwa amelewa chakali, usku wa manane wewe ndugu yangu unagongwa na baiskeli huko Kijijini ukiwa unatoka shamba kulima.

Wakati mtoto wa mbunge akifia kwenye swimming pool akiwa amelewa chakali maji yakamzidia na kumuua, wewe mwanao analiwaa na mamba akiwa anavuka mto kwenda shule

Haya matukio mawaili nataka yawafikirishe nyie watawaliwa na mtambue hizi ni Kodi zenu na tozo ndo zonazotumbuliwa hivi uonavyo

Muhimu Kila mmoja atafakari achukue hatua.
 
Ni saa 5;50 tarehe 26/08/2022.

Kichwa Cha habari kinajieleza kinatutaka Kila kijana wa kitanzania, mtu mzima wa Tanzania, ambao wote tupo nje ya mfumo WA utawala tunapata picha gani ya maisha ya familia za watawala wetu?je sisi tunayaishi maisha hayo?

Wakati mtoto wa Waziri anagonga magari ya watu akiwa amelewa chakali, usku wa manane wewe ndugu yangu unagongwa na baiskeli huko Kijijini ukiwa unatoka shamba kulima.

Wakati mtoto wa mbunge akifia kwenye swimming pool akiwa amelewa chakali maji yakamzidia na kumuua, wewe mwanao analiwaa na mamba akiwa anavuka mto kwenda shule

Haya matukio mawaili nataka yawafikirishe nyie watawaliwa na mtambue hizi ni Kodi zenu na tozo ndo zonazotumbuliwa hivi uonavyo

Muhimu Kila mmoja atafakari achukue hatua.
Mtoto wa maskini Konde boy anahonga malaya Range Rover, hebu tuendelee kutafakari.
 
Mlalamikie mzee wako for not setting you up. Wao hawakuomba wazazi wao wawe na hizo positions, it fell on their lap.

Ni wakati wako kumjengea mwanao future yake or else nae ataanza kuwaonea donge wengine.

"If you are born poor it’s not your mistake but if you die poor it’s your mistake."
 
Ni saa 5;50 tarehe 26/08/2022.

Kichwa Cha habari kinajieleza kinatutaka Kila kijana wa kitanzania, mtu mzima wa Tanzania, ambao wote tupo nje ya mfumo WA utawala tunapata picha gani ya maisha ya familia za watawala wetu?je sisi tunayaishi maisha hayo?

Wakati mtoto wa Waziri anagonga magari ya watu akiwa amelewa chakali, usku wa manane wewe ndugu yangu unagongwa na baiskeli huko Kijijini ukiwa unatoka shamba kulima.

Wakati mtoto wa mbunge akifia kwenye swimming pool akiwa amelewa chakali maji yakamzidia na kumuua, wewe mwanao analiwaa na mamba akiwa anavuka mto kwenda shule

Haya matukio mawaili nataka yawafikirishe nyie watawaliwa na mtambue hizi ni Kodi zenu na tozo ndo zonazotumbuliwa hivi uonavyo

Muhimu Kila mmoja atafakari achukue hatua.
Tatizo hapa ni jinsi wanavyosaidiwa kutoka kwenye hizo tuhuma zao fasta kelele nyingi kuwa anasota mahabusu sijui atafikishwa Mahakamani lakini huko anachaguliwa makosa ya kushtakiwa nayo mengine yanaachwa kesi inaendeshwa fasta anamaliza mambo anasepa je maskini wangapi wanasota mahabusu za Magereza kwa makosa ambayo hayakustahili hata kuvuka vituo vya Polisi? Umaskini ni janga kubwa sana tutafute pesa vinginevyo sisi na vizazi vyetu tutaendelea kuwa wanyonge maisha yetu yote
 
Wewe kama ulidanganywa binadamu wote ni sawa shauri lako. Wakati baba wa wenzako wanasoma usiku na mchana na kufanya home works nyingi, na kupitia mikiki mikiki mingi ya kutafuta uhuru, wewe baba yako alikuwa akiota moto na kuchoma mahindi, na mama yako akiwa anacheza mduara na vigodoro. Sasa haya ndiyo malipo yako kaka....Tulia basi sindano ikuingie.
 
Ni saa 5;50 tarehe 26/08/2022.

Kichwa Cha habari kinajieleza kinatutaka Kila kijana wa kitanzania, mtu mzima wa Tanzania, ambao wote tupo nje ya mfumo WA utawala tunapata picha gani ya maisha ya familia za watawala wetu?je sisi tunayaishi maisha hayo?

Wakati mtoto wa Waziri anagonga magari ya watu akiwa amelewa chakali, usku wa manane wewe ndugu yangu unagongwa na baiskeli huko Kijijini ukiwa unatoka shamba kulima.

Wakati mtoto wa mbunge akifia kwenye swimming pool akiwa amelewa chakali maji yakamzidia na kumuua, wewe mwanao analiwaa na mamba akiwa anavuka mto kwenda shule

Haya matukio mawaili nataka yawafikirishe nyie watawaliwa na mtambue hizi ni Kodi zenu na tozo ndo zonazotumbuliwa hivi uonavyo

Muhimu Kila mmoja atafakari achukue hatua.
Dhuluma huambatana na laana. Tozo ni dhuluma kwa wanyonge. Tozo inamuumiza zaidi mtu wa chini
 
Mtoto wa maskini Konde boy anahonga malaya Range Rover, hebu tuendelee kutafakari.
Bila kuegemea sana kwenye taarifa ya Mleta uzi maana sijahakiki taarifa aliyoitoa.

Konde ni Msanii ambaye anazisaka pesa zake mwenyewe kwa kutumia Kipaji chake.

Ndio maana huku hatajwi Msanii, Mwanamichezo au Mfanya biashara...wanatajwa wanaotumia Mgongo wa kutumikia Wananchi na kufaidi pesa ya uma kuishi maisha ya kifahari/kitajiri...Mtumishi wa uma unapata ziada mpaka unafanya starehe ili hali unaowatumikia wanakosa mlo wa kutosha, maji safi, dawa n.k.
 
Mlalamikie mzee wako for not setting you up. Wao hawakuomba wazazi wao wawe na hizo positions, it fell on their lap.

Ni wakati wako kumjengea mwanao future yake or else nae ataanza kuwaonea donge wengine.

"If you are born poor it’s not your mistake but if you die poor it’s your mistake."
Rubbish we are discussing issues here dude!
We are discussing about the governance and accountability of our resources and you are coming up with this rubbish!?? Damn"&&&
 
Bila kuegemea sana kwenye taarifa ya Mleta uzi maana sijahakiki taarifa aliyoitoa.

Konde ni Msanii ambaye anazisaka pesa zake mwenyewe kwa kutumia Kipaji chake.

Ndio maana huku hatajwi Msanii, Mwanamichezo au Mfanya biashara...wanatajwa wanaotumia Mgongo wa kutumikia Wananchi na kufaidi pesa ya uma kuishi maisha ya kifahari/kitajiri...Mtumishi wa uma unapata ziada mpaka unafanya starehe ili hali unaowatumikia wanakosa mlo wa kutosha, maji safi, dawa n.k.
Zote hizo ni pesa na wote hao wanafanya kazi halali na ujanja ujanja katika kutafuta Pesa ndio sili ya mafanikio ya waliowengi hata hao unaowasema wanatumia jasho. Huwez kumpangia mtu matumiz pesa ikishaingia mfukon mwake.
Aje hao watoto wa mawaziri wangezifungulia mirad yao binafs sio kuzilewa ingehalalisha mapato ya wazaz wao?
 
We can't be equal.
Wa kwetu tungehonga mpaka tuuze mashamba
Kuna Jamaa yangu alijibizana na Polisi barabarani mpaka wakafikia kupimana ubavu kidogo...siku hiyo alikuwa na stress zake mkubwa akajileta kwenye 18.

Ebwana wee walikuja wakamchangia na wakaenda kumsweka ndani.

Sema tu naye alihamdulilah alikuwa ana Binamu yake huko juu kwenye moja ya Wilaya huko ndio kilichomsaidia maana wale Wandava walishajiapiza kuwa ataziona rangi zote za Dunia hii.

Ingawa alisota siku nzima ndani lakini vipi kama angekuwa tu "Mwananchi wa kawaida" a.k.a Mpiga kura...si ndio kuanza kuitisha michango kama ya harusi.
 
Zote hizo ni pesa na wote hao wanafanya kazi halali na ujanja ujanja katika kutafuta Pesa ndio sili ya mafanikio ya waliowengi hata hao unaowasema wanatumia jasho. Huwez kumpangia mtu matumiz pesa ikishaingia mfukon mwake.
Aje hao watoto wa mawaziri wangezifungulia mirad yao binafs sio kuzilewa ingehalalisha mapato ya wazaz wao?
Ni pesa hizo hizo lakini kamwe hatuwawajibishi wasanii, Wanamichezo au Wafanyabiashara (walio waaminifu si wezi) kwa kupata pesa kwa kutumia vipaji vyao acha kupotosha.

Ni jamii tu ndio itamsema kwa matumizi mabaya lakini bado halazimiki wala hapangiwi ziada ya hapo ni utashi wake...kwa kipaji chake anaweza kupata pesa hata zilizo nje ya mipaka ya nchi husika na ni za kwake...kikubwa ni kulipa zile kodi zilizopo kwenye sheria...na ndio maana utaona hata huko nje Serikali zinawaandama sana tu iwapo watakwepa kulipa kodi za kisheria..mbali na hapo hiyo pesa hata akitaka kulipia watu wakachote maji baharini wapeleke mtoni.

Mwanasiasa anawajibika kwa Mwananchi, ni aibu kwa Mwanasiasa anayelipwa mshahara na marupurupu na kwa Afrika jumlisha utitiri wa rushwa zinazotokana na kuwepo kwenye hiyo nafasi ya uma.

Ni aibu na dhuluma pale ambapo Wananchi wako ulioapa kuwatumikia wanakosa maji safi ya kunywa huku wewe na familia yako mnaenda vacation Dubai na pesa unamega kutoka pato la taifa lililopaswa kuwapa Watuhayo maji safi.
 
Mlalamikie mzee wako for not setting you up. Wao hawakuomba wazazi wao wawe na hizo positions, it fell on their lap.

Ni wakati wako kumjengea mwanao future yake or else nae ataanza kuwaonea donge wengine.

"If you are born poor it’s not your mistake but if you die poor it’s your mistake."
Kameno lako la mwisho kamenifikirisha asante
 
Back
Top Bottom