Wewe Mtanzania unayetawaliwa kama Mimi unapata picha gani? Mtoto wa Waziri kugonga magari akiwa amelewa chakali, mtoto wa mbunge kufia Swimming pool?

Wewe Mtanzania unayetawaliwa kama Mimi unapata picha gani? Mtoto wa Waziri kugonga magari akiwa amelewa chakali, mtoto wa mbunge kufia Swimming pool?

Ni saa 5;50 tarehe 26/08/2022.

Kichwa Cha habari kinajieleza kinatutaka Kila kijana wa kitanzania, mtu mzima wa Tanzania, ambao wote tupo nje ya mfumo WA utawala tunapata picha gani ya maisha ya familia za watawala wetu?je sisi tunayaishi maisha hayo?

Wakati mtoto wa Waziri anagonga magari ya watu akiwa amelewa chakali, usku wa manane wewe ndugu yangu unagongwa na baiskeli huko Kijijini ukiwa unatoka shamba kulima.

Wakati mtoto wa mbunge akifia kwenye swimming pool akiwa amelewa chakali maji yakamzidia na kumuua, wewe mwanao analiwaa na mamba akiwa anavuka mto kwenda shule

Haya matukio mawaili nataka yawafikirishe nyie watawaliwa na mtambue hizi ni Kodi zenu na tozo ndo zonazotumbuliwa hivi uonavyo

Muhimu Kila mmoja atafakari achukue hatua.
Ni ubinadamu tu.Kila nafsi ina ubora,changamoto na harakati zake.Ukitaka kila mtu awe perfect ni kujidanganya bila malipo.
 
Aliefariki ndani ya swimming pool ni mkenya,familia yake imeomba msaada wa kuurudisha mwili nchini wao hawana pesa au unaongelea yupi aliyefia swimming pool?
 
Wewe kama ulidanganywa binadamu wote ni sawa shauri lako. Wakati baba wa wenzako wanasoma usiku na mchana na kufanya home works nyingi, na kupitia mikiki mikiki mingi ya kutafuta uhuru, wewe baba yako alikuwa akiota moto na kuchoma mahindi, na mama yako akiwa anacheza mduara na vigodoro. Sasa haya ndiyo malipo yako kaka....Tulia basi sindano ikuingie.
Kama naomba upunguZe rangi ya maandishi yananiumiza macho Mimi hapa sifi Leo popote ulipo babangu kubabako
 
Inatakiwa na wewe upambane ili watoto wako waishi maisha mazuri wasije kukulaumu kama wewe unavyowalaumu wazazi wako
 
Wewe kama ulidanganywa binadamu wote ni sawa shauri lako. Wakati baba wa wenzako wanasoma usiku na mchana na kufanya home works nyingi, na kupitia mikiki mikiki mingi ya kutafuta uhuru, wewe baba yako alikuwa akiota moto na kuchoma mahindi, na mama yako akiwa anacheza mduara na vigodoro. Sasa haya ndiyo malipo yako kaka....Tulia basi sindano ikuingie.
Hivi viongozi wa bongo ni wasomi? hasa hao wabunge ?
 
Ni saa 5;50 tarehe 26/08/2022.

Kichwa Cha habari kinajieleza kinatutaka Kila kijana wa kitanzania, mtu mzima wa Tanzania, ambao wote tupo nje ya mfumo WA utawala tunapata picha gani ya maisha ya familia za watawala wetu?je sisi tunayaishi maisha hayo?

Wakati mtoto wa Waziri anagonga magari ya watu akiwa amelewa chakali, usku wa manane wewe ndugu yangu unagongwa na baiskeli huko Kijijini ukiwa unatoka shamba kulima.

Wakati mtoto wa mbunge akifia kwenye swimming pool akiwa amelewa chakali maji yakamzidia na kumuua, wewe mwanao analiwaa na mamba akiwa anavuka mto kwenda shule

Haya matukio mawaili nataka yawafikirishe nyie watawaliwa na mtambue hizi ni Kodi zenu na tozo ndo zonazotumbuliwa hivi uonavyo

Muhimu Kila mmoja atafakari achukue hatua.
Halafu wakati huo huo mwananchi wa kawaida unaongezewa kodi na tozo za kila aina!!
 
Aliefariki ndani ya swimming pool ni mkenya,familia yake imeomba msaada wa kuurudisha mwili nchini wao hawana pesa au unaongelea yupi aliyefia swimming pool?
 
Back
Top Bottom