TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
Ulijuaje km Shoga ss?Dah mimi nilijiona nna gundu nimekaa JF miaka kadhaa sijawahi pata hata manzi siku moja naona PM kucheki kuna shoga ananitongoza. Nikajipa likizo JF.
Kuna uzi fulani kipindi kile Bashite ametishia kukamata mashoga basi nikawa kama nawatetea na jamaa alikua anachangia humo so nahisi alifikiri kuwa natetea kwasababu na mimi ni mmoja wao. Sijawahi kuiona ile ID nahisi ilibadili jina.Ulijuaje km Shoga ss?
Alikutumia picha???mashoga wapo FB inakuwaje JF??Kuna uzi fulani kipindi kile Bashite ametishia kukamata mashoga basi nikawa kama nawatetea na jamaa alikua anachangia humo so nahisi alifikiri kuwa natetea kwasababu na mimi ni mmoja wao. Sijawahi kuiona ile ID nahisi ilibadili jina.
Habari JF!
Hivi kweli kuna wanaume washawai kutongozwa na wanawake humu JF watupe uzoefu wao ilikuwaje,walikubali au walikataa?.Au wewe Mdada ushawai kumtongoza mwanamme je mambo yalikuwaje?
ID ya kiume mkuu haiwezi kuwa ya kike ina pretend kuwa ya kiume. Bahati mbaya nilifuta conversation siku hiyo hiyo ningeweka hapa uone. Mashoga wapo kila mahali hata nyumba za ibada.Alikutumia picha???mashoga wapo FB inakuwaje JF??
NakujaSidhani hata kama kuna KE anayefikiria hivyo kwangu
Yupo huyo anatembea sana uzi wa kula kimasiharaAlikutumia picha???mashoga wapo FB inakuwaje JF??
Wanasema ukitongozwa na shoga n mkosi sijuhi kweli?ID ya kiume mkuu haiwezi kuwa ya kike ina pretend kuwa ya kiume. Bahati mbaya nilifuta conversation siku hiyo hiyo ningeweka hapa uone. Mashoga wapo kila mahali hata nyumba za ibada.
Usioe mapema km bado haujawai tongozwa hata na mdada.Never happened..
Hahaha dah inawezekana maana hata mambo yangu siyaelewi elewi kama vile nimelogwa π π π πUn
Wanasema ukitongozwa na shoga n mkosi sijuhi kweli?
Karibu sana rafikiNakuja
Waone wazee π€£ π€£Hahaha dah inawezekana maana hata mambo yangu siyaelewi elewi kama vile nimelogwa π π π π