Wewe mwanamme ushawahi kutongozwa na mwanamke au mdada ushawai kumtongoza mwanamme?

Wewe mwanamme ushawahi kutongozwa na mwanamke au mdada ushawai kumtongoza mwanamme?

Hahaha...
Naogopa sana kuyatia maisha doa kwa kusema uongo..
Being real and Honest ia a ladder..
If you want to be trusted and respected be honest
[emoji23][emoji23][emoji23] Umekaa kilokole lokole Sana kaka
Uongo umeona ishu kubwa Sana ya kukutia doa
 
KENZY,
Kabisa mkuu demu akipenda hasa kwenye mazingira ya shule na kwa umri huo ni ugumu sana kuzuia hisia zake na ukimkataa ni rahisi sana kufeli!
 
Pole sana.. bora ww ulihonja mema ya dunia
Mkuu wanawake wana hili akipenda si rahisi kukuambia ni wachache wanaweza so what you need is to detect her waves! Body language yake ndio itakayokuambia what is going on!!

Jambo jengine unaona hizo bahati azikufikii ni kuwa hujichanganyi nao kivile nawe uwe unaonekana (nakushauri lkn hata mimi mwenyewe kwenye hili kituko tu😂😂)
Jitahidi uchangamane kiduchu they can spot you ila uache kale kamtindo ketu ka kusubiri yakifika unaruka😂😂

Unakuta wapo wengi tu na umewatesa bila kujua wanakupenda ila wakaugulia moyoni.. detect them my friend.
 
Ahsante kunifumbua macho ndugu yanguuuu (in sukumas voice) nitajitahidi kuchangamka nao japo kupiga piga dtori za billa msingi naona inaboa. Fanya unipe somo how to detect my crushes
Ha ha! Hata mi mwenyewe nakosaga vitu vya kuzungumza nao ila Kama utakuwa na mazoea nao hutakosa utapata tu mkuu mengine huja hukohuko pasipo fahamika😜

How to detect her it's very easy but it's very hard sometimes kukubali kuwa is she flirting with me 😂😂

Ipo hivi vitu huwa vina uwili mtu akiwa hakupendi au Hana interest na wewe utajua kutokana na vijitabia vyake ila kinyume na hizo tabia inamaana yupo interest nawe! Hiyo ndio point kuu
Mtoto wa kike akikupenda utaona haya
Atataka kuwa karibu nawe kwa maana ya kutaka kuongea nawe,kukaa pembezoni nawe n.k hiyo haitoshi maana hata kikawaida anaweza fanya hivyo but different is here

Mara nyingi utakachoongea hata kama ni cha kipuuzi atakishika! Kituko chako utakacho muambia hata kama hakichekeshi yeye still kitamvunja mbavu.. pia ktk maongezi maswali yake mengi ni yakutaka kukufahamu!
Jambo lako hulishughulikia mapema maana unakipaumbele kwake..

Ukishaanza kuditect vitu vidogo vidogo anza kuangalia her body language akiwa mbele yako!
Miguu yake hupenda kuilekeza kwako maana anataka attention yako kwake Kama ananywele hupenda kuzishikashika hata kama hana sababu ya kufanya hivyo! Pia hupenda kushika shingo yake kumbuka haya huyafanya akiwa hajitambui kama ndio viashiria vyenyewe ni ubongo tu humfanyisha bila kupenda.. chengine akiwa karibu nawe anaweza kukushika kama bahati mbaya coz she wants contact with you.. Kuna kitu kinaitwa macho haya pia ni uchawi mwengine 😂😂😜
Ulishawahi kuwa umekaa umetulia then unageuka nyuma ama pembeni unakuta kitoto cha kike kimekukazia jicho kinakuangalia ila utakapo kutanisha macho tu ye anaondosha anaangalia pembeni..?
Ukiona hili linajirudiarudia hehe sisemi.
Bado tupo kwenye macho hapohapo..
Hili linahitaji utulivu macho ni ishara kubwa Sana kama mtu umempenda maana pindi ukutanapo na umpendae hicho cheusi kwenye jicho nimeisahau sijui ndo pupils!! Huongezeka ukubwa!!
Sasa hapa unatakiwa ujue akiwa kawaida kanakuwaje na akikutana nawe kanakuwaje..

Chengine cha kuangalia ni marafiki za huyo unaeshuku anakupenda wanawake hupenda kuwaambia rafiki zao hisia zao so pindi unapotokea kwa rafiki zake how they react..??
Hukukaribisha kwa mbwembwe kidogo za kipekee pia sometime hutia kiutani n.k kiufupi utaona care fulani hivi na wengine utakapofika nao huwaachia kiuwazi chenu hivi cha faragha n.k na wengine huenda mbali na kuanza kukuita shem n.k

Mkuu mambo ni mengi unaweza pia tafuta ila njia kuu ni hapo juu na usikariri ambae unagombana nae leo kesho ndo anaweza kuwa wako!

Ukishaona hayo ndugu Kama nawe utakuwa umemkubali be a gentleman..
Anza kumjali ajisikie huru nawe,atakapokwama mkwamue haijalishi ni kwa hela au vipi kwake hata kitu kidogo tu ukimtendea jua kikubwa kwake! So hapo unaanza kumteka zaidi chengine huwa wanauzika kukuona upo interest na wanawake wengine so Kama umemkubali care about her but be normal usizidi Sanaa ili uendelee kuweka shauku kwake zaidi kuwa normal tu asije akajiona hakufai..
Kwa hayo machache nafikiri utapata kitu.
 
Kweli nimepata madini ya kutosha mr kibamia..Nitaanza kuchunguza details moja moja (you good in micro expression? ??)
Shida moja yaani ukisikia yule nyani mtembea peke ndio mimi. Sitakagi kuzoeana zoeana na watu.. just me na simu yangu.
Hata junsia yangu tu sina stori nao.. ila ngoja nianze kufuatilia
Micro expression ndugu ni ngumu huwa naikimbia kwa kusema mimi sio agent niikomalie simlindi rais Mimi au sio mpelelezi😜😜
But huwa naanza kumsoma mtu body language yake pale tu atakapofanya kitu fulani kikateka attention yangu ndo namuweka spot ila fanya hayo kwa kitu chenye faida ndugu alasivyo atapoteza muda wako wabongo ni bandubandu!!

Hilo la upweke si lako tu nami nimo ila mwenzangu utakuwa unashika tuzo!! Jitahidi kidogo upate mixer mixer inaleta raha fulani.. pia najua kuna hiki kikwazo story unazotaka wewe ni zenye mambo makubwa makubwa! So unajikuta ukizianzisha kwaajili ya mjadala kumbe wenzio hawajui hivyo sio mjadala bali kuwafundisha!!😂 Itumie hiyo pia kuwin girls heart..

Angalia vitu vyepesi vyepesi unavyovipenda ndio upigie story like muziki,movies n.k pia kuwa na details za kiundani zaidi itakupa credit..

Ila kuwa muangalifu hizo sifa nilizokueleza hapo juu zinaweza changanya sana inategemea na ntu na ntu!! Kiufupi psychology ni some pana Sana you know it.
Mfano ukiwa unaongea na mtu stories ikambamba yani akawa interesting na unachokiongea lazima ataelekea vilivyo kukuface miguu,uso na kila kitu vitakuelekea this is the same kwa ambae amekupenda atakuwa hivi ila yeye ni hata kama huongei nae she can act like this to get your attention.

Hata hivyo..

Ahsante kwa kunidukua😜
 
Kuna uzi fulani kipindi kile Bashite ametishia kukamata mashoga basi nikawa kama nawatetea na jamaa alikua anachangia humo so nahisi alifikiri kuwa natetea kwasababu na mimi ni mmoja wao. Sijawahi kuiona ile ID nahisi ilibadili jina.

sio ray huyo ? maana yule jamaa ana miguu ya kike na kaipaga hina


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mkuu leo umeamua kunipa somo mujarabu..Unagonga mule mule.
Ila mkuu sababu zingine zinazofanya nisiwe na time nao ni 1}Girls found I'm Uncomfortable looking 2}Umri 3} Pesa. Hivyo vitu vinanikosesha raha ya maisha
Solve hili tatizo PESA. hayo mengine yatang'ara tu yenyewe.. pesa itakufanya kuwa comfortable kiasi fulani,umri is going to be killed away😜👆

Hakuna mapenzi bila uchumi ndugu,uchumi unapalilia mapenzi ila mapenzi yanaweza kuharibu uchumi.. be careful usimpate wa kukupendea hela utaumia wewe maana vile ulivyo nahisi unaweza hata jitia kamba typically we ni mtu wa kufa na lako moyoni so jielewe sana tena sana
Itakurahisishia kujitatulia baadhi ya hisia ktk maisha.
 
Mim nilitongozwa na manzi wa kichaga nkazani masikhara ,kesho ake akanivutia waya sikupokea simu kama Mara tano ivi akamaind akawaanauliza kwanini cpokei simu wakati Jana nmekubali proposal?

Sikumjibu chochote kesho ake akaniambia pita geto uje unywe chai maana mtori ulibaki mwingi. Aisee kilichotokea ni hataree kwa afya.

Manka anavunja kiuno balaa
Nadhani tunazungumzia ndani ya jf uyo wako alikupata humu jf?
 
Siku ikitokezea hivyo nitazimia kwanza!

ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹ [emoji377]
 
Back
Top Bottom