Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
EMBU SEMA SUU..!!Yupo huyo anatembea sana uzi wa kula kimasihara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EMBU SEMA SUU..!!Yupo huyo anatembea sana uzi wa kula kimasihara
Kamoyo katakuwa kana jutia ndio maana mpk leo kumbukumbu zake zipo,kipindi cha balehe tuliwakatalia wadada wengi lakini ss tumekua tunajutia yaani sawa na kukosa penalty ya mwisho siku ya fainali.Aliniandikia barua na ililetwa na mdogo wake ndo ilikuwa nipo ktk barehe but sikuwahi kumjibu ila barua nilikuwa naisoma mara kadhaa baadae nikaichoma Moto! Hajawahi kuniuliza ukimya wangu nafikiri ilitosha kuwa jibu kwake! Ila kuna kipindi tulikutana akawa anatoa tumaneno fulani ili aone Kama tutaniumiza but still the same I was cool and down nothing happened!
Sijutii kumkosa..
Yes suu jina nmemsahauEMBU SEMA SUU..!!
Du hii corona naona imekupanda kichwani! Mambo gani tena haya unayotaka tukuambie?Habari JF!
Hivi kweli kuna wanaume washawai kutongozwa na wanawake humu JF watupe uzoefu wao ilikuwaje,walikubali au walikataa?.Au wewe Mdada ushawai kumtongoza mwanamme je mambo yalikuwaje?
Mimi nina katabia ka kulalamika lakini Naona we Umenizidi Ndugu kila Sehem We uko Mwana mkiwa Aisee [emoji38][emoji38]Never happened..
[emoji23]kumbe mnachunguzana humuMimi nina katabia ka kulalamika lakini Naona we Umenizidi Ndugu kila Sehem We uko Mwana mkiwa Aisee [emoji38][emoji38]
Some times pretend tuu kaka Kama something happened kumbe bado
Shida moja niliyonayo.. Siwezi Kufake..labda ndio maana hawajitokezi.Mimi nina katabia ka kulalamika lakini Naona we Umenizidi Ndugu kila Sehem We uko Mwana mkiwa Aisee [emoji38][emoji38]
Some times pretend tuu kaka Kama something happened kumbe bado
Kumkumbuka sio tatizo mkuu ni vile tu things was hot but sijilaumu kuhusu yeyeKa
Kamoyo katakuwa kana jutia ndio maana mpk leo kumbukumbu zake zipo,kipindi cha balehe tuliwakatalia wadada wengi lakini ss tumekua tunajutia yaani sawa na kukosa penalty ya mwisho siku ya fainali.
Nisindikiza basi tukamtafute kule kwenye masihara...Yes suu jina nmemsahau
Na anacheka hv lol au looool karibu kila comment yake
Niliwahi Tongozwa miaka zaidi ya 20 iliyopita na mdada nikamkatalia mpk leo hatuongei toka 1997 kwa sababu hiyo .Mpk leo ana watoto wawili tukikutana km hatujuani wakati ni class mate ,ndio maana nikaomba uzoefu wa wahenga.Du hii corona naona imekupanda kichwani! Mambo gani tena haya unayotaka tukuambie?
Haha yupo bwana hata kwenye thread ya love na nini aliwahi post anatafuta marafiki wakubadilishana nao mawazoNisindikiza basi tukamtafute kule kwenye masihara...
Hahahahh hapana Aisee ni Active member michango yake ni rahisi kui-spot hivyo tuu[emoji23]kumbe mnachunguzana humu
We are the same but different characters!!Nikajua tupo kundi moja kumbe jamaa angu hadi unapigwa sound..Hongera!
Na kweli Mamaee wanasemaShida moja niliyonayo.. Siwezi Kufake..labda ndio maana hawajitokezi.
Sijui kutunga uongo
Hahaha...Na kweli Mamaee wanasema
Mwambie Ukweli Mwanamke ujibebe ni mwendo wa kamba tuu [emoji23][emoji23][emoji23]
.
Balaa gani aiseeUnabalàa[emoji23]