Best advice kiongozi.Mkuu wanawake wana hili akipenda si rahisi kukuambia ni wachache wanaweza so what you need is to detect her waves! Body language yake ndio itakayokuambia what is going on!!
Jambo jengine unaona hizo bahati azikufikii ni kuwa hujichanganyi nao kivile nawe uwe unaonekana (nakushauri lkn hata mimi mwenyewe kwenye hili kituko tu😂😂)
Jitahidi uchangamane kiduchu they can spot you ila uache kale kamtindo ketu ka kusubiri yakifika unaruka😂😂
Unakuta wapo wengi tu na umewatesa bila kujua wanakupenda ila wakaugulia moyoni.. detect them my friend.
Anayejielewa ndio anakuwaje,maana nasikia tu wadada wakisema hako kamsemo lakini sijajua meaning yake.
Utamjuaje ss?Mwanaume mwaminifu na anayetimiza majukumu yake
Siku hizi wadada wa mjini hawaangalii huo u handsome wala six packs,mwendo wa pesa mzee baba!
A gentleman never kiss and tell.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Utamjuaje ss?
Waungwana waliolelewa na kufundwa heshima nzuri, huwa hawahadithii mambo yao ya faragha waliyofanya na wanawake.May you please clarify a little bit on that!
I wish to learn something there on!
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasimama vizuri tu....! Ila niko selective sana. Ninaovutiwa nao huwatongoza mwenyewe na kujiliaNdugu yng ndonga haisimami
Uhii😂😂😂nacheka kama mazuri. Mungu komboa kizazi chetuDah mimi nilijiona nna gundu nimekaa JF miaka kadhaa sijawahi pata hata manzi siku moja naona PM kucheki kuna shoga ananitongoza. Nikajipa likizo JF.
Wachaga nao sio wote labda wale wa MachameUtafiti unasema wanawake jasiri na wasio dhaifu na wenye kujiamini ndio utongoza wanaume,hapa unapata makabila ya wanawake wa kasikazini mfano wachagga n.k wachagga ni mama lao wakina Manka wanatongoza hao. pamoja na wanawake wa mkoa wa Tanga.
A gentleman never kiss and tell.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Waungwana waliolelewa na kufundwa heshima nzuri, huwa hawahadithii mambo yao ya faragha waliyofanya na wanawake.
Kwa sababu mambo hayo ni ya faragha.
Kwa sababu wameyafanya katika uwili wao, hayakuwa kwa faida ya jamii kujua kwa kuhadithia mitandaoni.
Kwa sababu kuhadithia ni kujivua nguo mwenyewe.
Kwa sababu kuhadithia kunaweza kumdhalilisha mwanamke.
Kwa sababu kuhadithia kunaweza kuhalalisha na kuchochea ngono zembe.
Lakini, inawezekana hayo ni maoni ya zama zetu tuliosoma vitabu vya Sheikh Shaaban Robert na kujua uungwana ni nini.
Na labda watoto wa zama za mitandao wanakuja na fikira tofauti.
Sent from my typewriter using Tapatalk
Unaangalia nn six pacs?Wanajulikana tu
HahahaDah mimi nilijiona nna gundu nimekaa JF miaka kadhaa sijawahi pata hata manzi siku moja naona PM kucheki kuna shoga ananitongoza. Nikajipa likizo JF.