Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Guede kaja dirisha dogo....Dec au unamaanisha ...nani ?? Fred labda...nasema Striker ana bao moja msimu mzima ni sawa??Kawaida. MBONA UTO WALIMNUNUA GWEDE AMBAYE HAKUCHEZA OVER A SEASON ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Guede kaja dirisha dogo....Dec au unamaanisha ...nani ?? Fred labda...nasema Striker ana bao moja msimu mzima ni sawa??Kawaida. MBONA UTO WALIMNUNUA GWEDE AMBAYE HAKUCHEZA OVER A SEASON ?
Mkuu Kibu ni winga au striker?Striker ana goal 1 msimu mzima khaaa
Kwa umri huo atafundishwa nini?Kibu usimchukulie poa sana. Ana nguvu na mbio, anakosa mbinu au akili za ufungaji. Kibu angezungukwa na wachezaji wafungaji wazuri angasababisha magoli mengi mno, maana kuufikisha mpira kwenye eneo la hatari si tatizo kwa kibu, tatizo la kibu ni akili ya ufungaji anapokuwa katika hilo eneo. Akipata kocha wa kumfundisha mbinu na akawa na akili ya kuzitumia atakuwa mshambuliaji hatari sababu ana nguvu, ana mbio.
Anafundishika. Si kazaliwa 1998 huyu? Ana 5 to 7 years za kucheza soka la kulipwa.
Interchangeably......Mkuu Kibu ni winga au striker?
Natural position.........?Interchangeably......
Winger no 9 or striker....no 7Natural position.........?
😂 nimekusoma mkuuWinger no 9 or striker....no 7
Wewe ndo huwaga Mwasi mpumbavu kuliko wote nchini, huwezi kabisa kukubali kutokukubaliana kama fundi umeme. Li account lako lile ndo maana walilifunga. Kibu hakuna team inampa hio hela ya Billion 1, na mshahara wa 75M kwa mwezi, haipo na haitakuja kuwepo. Kama kaona hawezi kuendelea basi asepe tu. Simba watakuja wengine na watacheza zaidi ya huyo Kibu Deniss.una hisi why kibu denis amekataa kusign. unakaza kichwa sana. ila huu ndo ukweli.
also please don't comment kama ukweli wako huna?? wewe ukweli wako upi? dumb 🚮
Timu gani ilimtaka kwa iyo hela?wamekosa 2 billion
Me mwenyewe nimeshangaa, bilioni 2 kwa ligi yetu uyo ni mchezaji wa hadhi ya mayeleOffer Gani mnataka kuwaingiza Simba kingi ili wampe mkataba mpya, hizi habari atakua ameandika kibu mwenyewe, Kuna timu Gani eti itoe over 1M USD(zaidi ya 2.5B) kumsajili kibu huyu mwenye goli Moja msimu mzima??
Eti walimpe over 75M kibu Kila mwezi kwa uchezaji upi? Kibu angekua amepata ofa kama Hio angekua ameshapanda hata ungo kukimbilia huko, inshort hakuna habari hapa
Mkuu. Mungu akubariki.Kibu usimchukulie poa sana. Ana nguvu na mbio, anakosa mbinu au akili za ufungaji. Kibu angezungukwa na wachezaji wafungaji wazuri angasababisha magoli mengi mno, maana kuufikisha mpira kwenye eneo la hatari si tatizo kwa kibu, tatizo la kibu ni akili ya ufungaji anapokuwa katika hilo eneo. Akipata kocha wa kumfundisha mbinu na akawa na akili ya kuzitumia atakuwa mshambuliaji hatari sababu ana nguvu, ana mbio.
anaenda azam for freeI will be short
Simba since last season wamepata offer nyingi za kibu denis wamegoma kuchukua hela.
contract yake inaisha wanataka kumpa new contract then wamuuze kwa faida. maana kuna over 600k usd to 1 m usd for kibu denis. simba wanatoa 500 million contract.
He is leaving for free. end of the season. wasteful opportunity for 1 - 2 billion from Simba.
wala usipoteze nguvu kibu anasaini azamOffer Gani mnataka kuwaingiza Simba kingi ili wampe mkataba mpya, hizi habari atakua ameandika kibu mwenyewe, Kuna timu Gani eti itoe over 1M USD(zaidi ya 2.5B) kumsajili kibu huyu mwenye goli Moja msimu mzima??
Eti walimpe over 75M kibu Kila mwezi kwa uchezaji upi? Kibu angekua amepata ofa kama Hio angekua ameshapanda hata ungo kukimbilia huko, inshort hakuna habari hapa
Kibu hawezi command fee hiyo huyo mwisho $50k.I will be short
Simba since last season wamepata offer nyingi za kibu denis wamegoma kuchukua hela.
contract yake inaisha wanataka kumpa new contract then wamuuze kwa faida. maana kuna over 600k usd to 1 m usd for kibu denis. simba wanatoa 500 million contract.
He is leaving for free. end of the season. wasteful opportunity for 1 - 2 billion from Simba.
Hapo alipofikia hawezi rekebishika, he is at 30+Kibu usimchukulie poa sana. Ana nguvu na mbio, anakosa mbinu au akili za ufungaji. Kibu angezungukwa na wachezaji wafungaji wazuri angasababisha magoli mengi mno, maana kuufikisha mpira kwenye eneo la hatari si tatizo kwa kibu, tatizo la kibu ni akili ya ufungaji anapokuwa katika hilo eneo. Akipata kocha wa kumfundisha mbinu na akawa na akili ya kuzitumia atakuwa mshambuliaji hatari sababu ana nguvu, ana mbio.