bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
So makocha wote waliopita Simba wameshindwa kumfundisha?Anafundishika. Si kazaliwa 1998 huyu? Ana 5 to 7 years za kucheza soka la kulipwa.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So makocha wote waliopita Simba wameshindwa kumfundisha?Anafundishika. Si kazaliwa 1998 huyu? Ana 5 to 7 years za kucheza soka la kulipwa.
Kama Yanga waliwachukua Mkude na Boban, watamuachaje Kibu?Nani anamtaka.
Kibu kazaliwa mwaka gani?Hapo alipofikia hawezi rekebishika, he is at 30+
Inawezekana ili awe katika peak anahitaji aina ya kikosi ambacho si hichi anachokitumikia. Ndo yale yale mchezaji ana miaka 29 au 30 unashangaa anakuwa hatari unajiuliza alikuwa wapi.So makocha wote waliopita Simba wameshindwa kumfundisha?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kuwa serious mkuu, 2b kwa Kibu Denis?wamekosa 2 billion
Hapa ni kama umehitimisha kwamba hamna timu ya kutoa bilion 2 kwa Kibu.Kibu usimchukulie poa sana. Ana nguvu na mbio, anakosa mbinu au akili za ufungaji. Kibu angezungukwa na wachezaji wafungaji wazuri angasababisha magoli mengi mno, maana kuufikisha mpira kwenye eneo la hatari si tatizo kwa kibu, tatizo la kibu ni akili ya ufungaji anapokuwa katika hilo eneo. Akipata kocha wa kumfundisha mbinu na akawa na akili ya kuzitumia atakuwa mshambuliaji hatari sababu ana nguvu, ana mbio.
B2 ni nyingi kwa mchezaji mmoja wa kiwango cha Kibu ila kwenye dunia ya soka lolote linawezekana na haitakuwa mara ya kwanza kwa mchezaji mwenye kiwango cha chini kuwa overated na kuuzwa bei juu kupitia mawakala. Sehemu ikishakuwa na maslahi binadamu anaweza tafuta namna yapatikane.Hapa ni kama umehitimisha kwamba hamna timu ya kutoa bilion 2 kwa Kibu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Siku Simba wakipata offer ya b2 kwa kibu, mo mwenyewe atamuendesha kibu mpaka airport
🤔sureAende tu akatafute ugal mzurii
Bora kuweka pin badala ya kI will be short
Simba since last season wamepata offer nyingi za kibu denis wamegoma kuchukua hela.
contract yake inaisha wanataka kumpa new contract then wamuuze kwa faida. maana kuna over 600k usd to 1 m usd for kibu denis. simba wanatoa 500 million contract.
He is leaving for free. end of the season. wasteful opportunity for 1 - 2 billion from Simba.
Kibu D amepata ofa SwedenKibu yupi mnamsemea? Huyo wa Simba hata 5k $ per month salary hakuna timu itamnunua, nasema kweli
Na kwenye zile 7 _2 alihusikaKawaida. MBONA UTO WALIMNUNUA GWEDE AMBAYE HAKUCHEZA OVER A SEASON ?