Wewe ndo Kibu Denis, una offer ya 30k usd per month na signing fee ya 300k usd. will you sign?

Kwa umri huo atafundishwa nini?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
una hisi why kibu denis amekataa kusign. unakaza kichwa sana. ila huu ndo ukweli.

also please don't comment kama ukweli wako huna?? wewe ukweli wako upi? dumb 🚮
Wewe ndo huwaga Mwasi mpumbavu kuliko wote nchini, huwezi kabisa kukubali kutokukubaliana kama fundi umeme. Li account lako lile ndo maana walilifunga. Kibu hakuna team inampa hio hela ya Billion 1, na mshahara wa 75M kwa mwezi, haipo na haitakuja kuwepo. Kama kaona hawezi kuendelea basi asepe tu. Simba watakuja wengine na watacheza zaidi ya huyo Kibu Deniss.
 
Me mwenyewe nimeshangaa, bilioni 2 kwa ligi yetu uyo ni mchezaji wa hadhi ya mayele
 
Mkuu. Mungu akubariki.
 
anaenda azam for free
 
wala usipoteze nguvu kibu anasaini azam
 
Kibu hawezi command fee hiyo huyo mwisho $50k.
 
Hapo alipofikia hawezi rekebishika, he is at 30+
 
Reactions: Tsh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…