theriogenology
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 8,748
- 15,681
Kuhusiana na ku handle yaani kumfanya mwanamke ajisikie yuko dunia nyingine kwa kupendwa tunajitahidi kwelikweli....Hata mtu akikosea hamsemehi mpaka mjisikie. Na hamuwezi mkasema kama mtu asipojiongeza. Ila nawapenda sana wanaume wa kanda yenu. Na mnajua kuhandle mwanamke hadi ajione dunia yake jamani. Wakurya mnapenda bwana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mtu akikosea hamsemehi mpaka mjisikie. Na hamuwezi mkasema kama mtu asipojiongeza. Ila nawapenda sana wanaume wa kanda yenu. Na mnajua kuhandle mwanamke hadi ajione dunia yake jamani. Wakurya mnapenda bwana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ex wanguvwa kikurya jamani abarikiwe yule kijana na nshamsemehe. Alinifanya nijione malkia haki hadi nikatamani na mimi kuwa mke wa pili baadae nikaona ntajitesa tu maana nampenda sana nikamuacha japo roho iliniuma kidogoKuhusiana na ku handle yaani kumfanya mwanamke ajisikie yuko dunia nyingine kwa kupendwa tunajitahidi kwelikweli....
Kuna mchepuko wangu wa kinyaturu yaani anatamani nimfanye mke wa pili maana namjali sana.....
Ila ndio hivyo dini yangu haikubali....
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeh. Wifi angu alikuaga ananiambia we kaa tu bwana hatujui mdogo wetu atamuoa nani kwanza hawawagi na mke mmoja. Nikamwambia wifi ningekua simpend ningekaa tatizo moyoumesema kweli wanajua ku handle wanawake,na wanapenda wanawake ..mara nyingi wanakua na michepuko...
Kuwa mke wa pili ungependwa zaidi maana tuna kasumba mmoja ikitokea mwanaume wa kikurya kaoa mke wa pili mapenzi yote yanahamia kwa mke mdogo.....Ex wanguvwa kikurya jamani abarikiwe yule kijana na nshamsemehe. Alinifanya nijione malkia haki hadi nikatamani na mimi kuwa mke wa pili baadae nikaona ntajitesa tu maana nampenda sana nikamuacha japo roho iliniuma kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo mkuu ila kwa uchache sana
Nina wivu jamani. Suala la kujua tu niko Dar ye kila siki Terime analala na mwanamke ndo lilinishinda.Kuwa mke wa pili ungependwa zaidi maana tuna kasumba mmoja ikitokea mwanaume wa kikurya kaoa mke wa pili mapenzi yote yanahamia kwa mke mdogo.....
Sasa hapo ungeanzisha ugomvi indirectly na Mke wa kwanza....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh pole sana white....Nina wivu jamani. Suala la kujua tu niko Dar ye kila siki Terime analala na mwanamke ndo lilinishinda.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameeen.Ooh pole sana white....
Ila kama ulipangiwa kuolewa na mwanaume kutoka kanda maalamu na hakika utampata atakaye kupenda na kukuthamini 100%....
Ikitokea ukapata mchumba wa kikurya na mkataka kufunga ndoa nitaomba uni PM nitakuchangia kiasi fulani bure kabisa white .....
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenirithisha ujuesasa pigo za kizaramu unazitolea wapi??
sidhaniUmenirithisha ujue
kwa hiyo naongopasidhani
sidhani
Siku njema huonekana asubuhi, nipo hapa mpenzi mtazamajikwa hiyo naongopa