Wewe ni half-caste wa wapi na wapi...

Mi nilikuwaga na mnyamwezi ajaaajaaah mkaka alioneshaga love sijawahi ipata mahali dunia hii!...sema mizinguo yangu tuu maskini!

Mwenyezi Mungu amjaalie R huko aliko mambo yake yamnyokee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nilikuwaga na mnyamwezi ajaaajaaah mkaka alioneshaga love sijawahi ipata mahali dunia hii!...sema mizinguo yangu tuu maskini!

Mwenyezi Mungu amjaalie R huko aliko mambo yake yamnyokee!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasukuma ukiwa na ka rangi na kishundu kidogo wanachanganyikiwa hao jamani. Na wanapenda mbaya. Anaweza akakuhonga Mwanza Simiyu na Geita viwe vyako.

Wanyamwezi sijui naonaga tu wana tabia za watu wa Pwani. Sipendi wanaume wa Pwani japo ndugu zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…